USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024
USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024

Kwa TKO raundi ya sita, Mada Maugo amemkalisha Karim Mandonga.



VITASA | Selemani Kidunda Vs Asemahle Wellem | Full Fight | - Usiku wa Vita 01/03/2024
VITASA | Selemani Kidunda Vs Asemahle Wellem | Full Fight | - Usiku wa Vita 01/03/2024

Hizi hapa hekaheka za Selemani Kidunda na Asemahle kwenye pambano lao la raundi 12. Pambano hili limemalizika bila mshindi yaani droo.



VITASA | Ibrahim Class ampiga Israel Kammwamba TKO raundi ya pili Mkwakwani Tanga 27/01/2024
VITASA | Ibrahim Class ampiga Israel Kammwamba TKO raundi ya pili Mkwakwani Tanga 27/01/2024

IBRAHIM CLASS v ISRAEL KAMMWAMBA: Tazama shughuli ilivyomalizika mapema tu raundi ya pili….Ibra Class Mawe akiibuka na ushindi wa TKO baada ya mpinzani wake Israel Kammwamba kutoka Malawi 'kurusha taulo' Tangaaaaaa....! #KaaKwaKutulia Na hili ndilo lilikuwa pambano kuu usiku huu, katika Uwanja wa Mkwakwani Tanga katika Usiku wa Vitasa Nyumbani ni Nyumbani. #KaaKwaKutulia #NyumbaniNiNyumbani #VitasaTanga



VITASA MWANZA | Twaha Kiduku apigwa na Asemahle Wellem – 29/07/2023
VITASA MWANZA | Twaha Kiduku apigwa na Asemahle Wellem – 29/07/2023

Tazama pambano lote kati ya Bondia Mtanzania, Twaha Kiduku dhidi ya Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini. Wellem amemshinda Twaha Kiduku kwa pointi kwenye pambano la raundi 12.



VITASA | Ibrahim Class vs Said Chino | KAZI IPO 27/05/2023
VITASA | Ibrahim Class vs Said Chino | KAZI IPO 27/05/2023

VITASA NIGHT: Hii ndiyo ilikuwa #mainCard katika Usiku wa Vitasa, Kazi Ipo ndani ya Where House, Masaki, Dar es Salaam, ikishuhudia Ibrahim Class akipata ushindi wa pointi dhidi ya ya rafiki yake wa utotoni, Said Chino. Tazama pambano lote kama ilivyokuwa na utoe maoni yako... #KaziIpo #Vitasa #IbraClass #SaidChino #VitasaNight



VITASA | Karim Mandonga alivyompiga Said Mbelwa 'TKO' | Punch Of Fire 25/11/2022
VITASA | Karim Mandonga alivyompiga Said Mbelwa 'TKO' | Punch Of Fire 25/11/2022

MO GREEN VITASA NIGHT: Tazama jinsi ngumi #ndoige kutoka kwa Karim Mandonga ilivyofanya kazi ikimpiga Said Mbelwa TKO raundi katika pambano la raundi sita. Ni #MoGreenVitasaNight #PuchOfFire kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro Novemba 25/11/2022 Hili lilikuwa ni pambano la pili la utangulizi kuelekea pambano kuu kati ya Twaha Kiduku dhidi ya Victor Hugo Exner kutoka Argentina.



VITASA | Tazama Ibra Class alivyomchapa KO Alan Pina kutoka Mexco | Mo Boxing 30/09/2022
VITASA | Tazama Ibra Class alivyomchapa KO Alan Pina kutoka Mexco | Mo Boxing 30/09/2022

IBRA CLASS vs ALAN PINA: Hili hapa pambano zima kati ya Mtanzania Ibrahim Class dhidi ya Allan Pina raia wa Mexico, likimalizika kwa Ibra Class kupata ushindi wa KO raundi ya tisa... pambano likiwa ni la raundi kumi. Ni katika #UsikuWaVitasa #MoBoxing uliofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.




Next »


Popular Tags

#Paul George  #Derrick Rose  #Michael Jordan  #Amazing Solo Goals  #Allen Iverson  #Kawhi Leonard  #Goalkeeper Saves  #Best Football Defending Skills  #Mesut Ozil  #LeBron James  

Popular Users

#sportspickle  #JasonDufner  #UKCoachCalipari  #realmadrid  #_BAnderson30_  #themichaelowen  #billsimmons  #Buccigross  #StephenCurry30  #blakegriffin23  #Oprah  #cnnbrk  #dougferguson405  #GNev2  #cesc4official