Hivi ndivyo shughuli ya raundi nane ya kuwania mkanda wa UBO uzito wa Super Middle ilivyoenda na hatimaye Mtanzania #TwahaKiduku kuibuka mshindi kwa pointi. #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaVitasa #TwahaKidukuVsAlexKabangu #TwahaKiduku #TwahaKiduku #MfalmeKwenyeUfalmeWake #NgumiNguruka