Content removal request!


ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.