Content removal request!


ALLY KAMWE: TUNAKWENDA KUWAFANYA VIBAYA MAMELODI/SIMBA WANASAFISHA UWANJA/HATUJAWAHI KUSHINDWA...

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe aeleza namna ambavyo wamewapokea wapinzani wao Mamelodi Sundowns kwenye robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika na namna wanavyojipanga kumenyana nao Machi 30,2024 Uwanja wa Benjamin Mkapa.