Timu ya JKT Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Magoli ya JKT yamefungwa na Jabir Aziz Stima pamoja na Edson Katanga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Timu ya JKT Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Magoli ya JKT yamefungwa na Jabir Aziz Stima pamoja na Edson Katanga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Yacouba sogne adhihirisha ubora wake wa kuppachika mabao baada ya kuifungia yanga kwenye dakika ya 26 dhidi ya JKT leo Uwanja wa jamhuri Dodoma. Yanga Imefikisha pointi sawa na Simba kwenye Msimamo wa ligi kuu Tanzania bara 2021.
JKT vs YANGA: Yanga SC imeipa kichapo cha mabao 2-0 JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Magoli ya Yanga yamefungwa na Yacouba Songne pamoja na Tuisila Kisinda. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri #Bonatv #Exclusive
Magoli ya Kelvin Kongwe Sabato na George Makang'a yameipa Mtibwa Sugar ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Timu ya Mtibwa Sugar imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Goli pekee la Mtibwa limefungwa na Salum Kihimbwa dakika ya 5 ya mchezo. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
DODOMA JIJI VS NAMUNGO fc: Namungo FC wamepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri, Dodoma. Goli pekee la Namungo limefungwa Sixtus Sabilo dakika ya kwanza. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz