Content removal request!


ALICHOKISEMA KOCHA WA SIMBA BAADA YA KUTINGA HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO AWATAJA MASHABIKI

Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba Pablo Franco amezungumza na wanahabari baada ya kutinga hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika licha ya kupoteza Mchezo kwa Magoli mawili kwa moja mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mashujaa Lusaka, Zambia FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #KochaPablo #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv