Mpenja tv tumefanya mahojiano na msemaji wa Fountein gate princess ambaye pia ni shabiki mkubwa wa Simba Kay Mziwanda, kubwa ni kuhusu mchezo wa jumamosi Coastal Union dhidi ya Simba utakao pigwa jijini Tanga. Mziwanda hakuwacha mbali watani zake kuhusu swala la unbeaten kuvunjika pamoja na mbio za kupambania ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com