Mashabiki wa Simba SC wametaka kocha afanye mabadiliko ya kikosi chao na kuanza kuwatumia vijana wadogo tofauti na kikosi kinachoanza kwenye mechi za hivi karibuni. Hayo wameyasema hii leo Aprili 13, 2024 kufuatia sare dhidi ya Ihefu ikiwa ni muendelezo usioridhisha wa kikosi chao katika michezo zaidi ya 3 ya mwisho Wakizungumza na mwananchi digital baada ya mchezo wao dhidi ya Ihefu kuisha wamesema ni muda sasa wa kupewa nafasi vijana wadogo kama Chassambi kuonyesha uwezo wao walionao na kudai wanaoanzishwa hivi Sasa hawajitumi.
Live: AL-AHLY VS SIMBA: MUNGU HATOKEI MISRI TU! MNYAMA LEO LAZIMA KIELEWEKE TUNAITAKA NUSU FAINALI ...
Leo Januari 13,2024 katika Dimba la New Amaan Complex inapigwa mbungi ya Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2024,kati ya Bingwa mtetezi,Mlandege FC na Mnyama Simba SC,Saa 2:15 Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa zote za kabla na baada ya Fainali hiyo.
️#yanga #ihefu #mayele #musonda #mandonga #simba #mbeyacity #morrison #younglunya #jezimpya #jezi #kanisa #ibadahonline #mungu #sabato #wydadathleticclub #wydad_casablanca #mkapa Kwa UPDATES zote,Akaunti Zetu Za Kijamii / Our Social Networks: ️ J&RMTITA TV ️ VISIT / TEMBELEA: https://www.jrmtitatv.co.tz ️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ️ J&R MTITA TV ️ Email: jrmtitatv@gmail.com ️ OUR SOCIAL NETWORKS LINK: ️ INSTAGRAM:https://www.instagram.com/jrmtitatv/ ️ FACEBOOK: https://web.facebook.com/jrmtitatv ️ TWITTER: https://twitter.com/jrmtitatv YOUTUBE: https://www.youtube.com/channel/UC10Faf0opSsxRP_wNAEecCA ️Subscribe J&R MTITA TV
''Nimefurahi sana baada ya kupewa taarifa kuwa hii wiki itaitwa jina langu. Mimi kama mchezaji jukumu langu ni kucheza na sina aahadi nyingine yoyote kwa wananchi kwasababu hakuna anaefahamu kesho hivyo nawaomba wajitokeze kwa wingi kupata burudani siku ya jumamosi pale Azam Complex. Msimu uliyopita na msimu huu umekua tofauti kwangu niseme tu ni mapenzi ya mungu jitihada zangu ndio zinasababisha vitu vyote hivi mimi kuonekana Bora namshukuru sana mungu'-Aziz ki
#AyoubLakred #SimbaPowerDynamos #SoccerDataUchambuzi je ungependa madini kama Haya yawe yanakufikia kila siku na kwa wingi zaidi? ichangie Soccerdata leo; nami nita ku tag katika Uchambuzi Ujao; TigoPesa: 0710 679 388 Halopesa: 0627 532 401 (Sekwao Mwendi) Mungu akubariki sana
️#yanga #ihefu #mayele #musonda #mandonga #simba #mbeyacity #morrison #younglunya #jezimpya #jezi #kanisa #ibadahonline #mungu #sabato #wydadathleticclub #wydad_casablanca #mkapa Kwa UPDATES zote,Akaunti Zetu Za Kijamii / Our Social Networks: ️ J&RMTITA TV ️ VISIT / TEMBELEA: https://www.jrmtitatv.co.tz ️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ️ J&R MTITA TV ️ Email: jrmtitatv@gmail.com ️ OUR SOCIAL NETWORKS LINK: ️ INSTAGRAM:https://www.instagram.com/jrmtitatv/ ️ FACEBOOK: https://web.facebook.com/jrmtitatv ️ TWITTER: https://twitter.com/jrmtitatv YOUTUBE: https://www.youtube.com/channel/UC10Faf0opSsxRP_wNAEecCA ️Subscribe J&R MTITA TV