Leo Januari 13,2024 katika Dimba la New Amaan Complex inapigwa mbungi ya Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2024,kati ya Bingwa mtetezi,Mlandege FC na Mnyama Simba SC,Saa 2:15 Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa zote za kabla na baada ya Fainali hiyo.
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar