LIVE CROWN SPORTS; SIMBA SC YADONDOSHA ALAMA KWA DODOMA JIJI, TOFAUTI YA ALAMA 5 NA KINARA WA LIGI YA NBC YANGA SC/ DABI IMENOGA SASA VITA INAHAMIA ZANZIBAR, AMAAN COMPLEX.
LIVE CROWN SPORTS: MNYAMA SIMBA AGONGWA ZA USO KWA MKAPA/ YANGA VICHEKO HADI ALGERIA LEO/ PANTEV AKALIA KUTI KAVU
USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz
CAF AWARDS 2025 | Hivi ndivyo nyota magwiji wa soka la Afrika, Asamoah Gyan na Manucho walivyomtangaza Clement Mzize (Yanga SC) kuwa mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka. Pia sikiliza alichokisema Clement mwenyewe kuhusu tuzo hiyo akitoa shukrani zake kwa CAF, wachezaji wenzake, benchi la ufundi, na wote waliompigia kura. Mzize anasema “…hii ni ya kwetu wote” Goli lenyewe ni lile alilowafunga TP Mazembe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu uliopita…Yanga ikishinda 3-1 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Januari 4, 2025. Ni usiku wa tuzo kwa waafrika waliofanya vizuri kwenye ulimwengu wa soka mwaka 2025. Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CAFAwards2025 #CAFAwards #TuzoZaCAF
LIVE; SIMBA SC YA FADLU DAVIDS YAMOTO/ AUCHO, CHAMA, KIBABAGE, WATIMKIA SINGIDA BS/ SIMBA SC WATAMBA NA JEZI/ YANGA SC INAWAZA MAKOMBE TU.