"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market" #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
Simba Pro tumekita kambi mpaka Makao Makuu ya shirika la habari Tanzania TBC, na kufanya mahojiano na mchambuzi Emmanuel Mwayombo na kutupitisha katika ukweli juu ya dili la Elie Mpanzu kutua katika kikosi cha Simba SC Mwayombo ametueleza mambo mengi kuhusiana na dili hilo na jinsi ambavyo Simba wamekua wakipush juu ya kupata sign yake Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la SIMBA PRO tuma ujumbe kwa namba o626629644 tulipe utaratibu wa jinsi ya kuungwa
Kipindi namba moia cha michezo na uchambuzi nchini, kitachambua mengi ya kimichezo leo.
Meneja wa habari na mawasiliano wa Yanga Sc Ally Kamwe leo kwenye Face to Face amefunguka mambo mengi ambayo yanagusa maisha yake pia kazi yake anayoifanya kwenye klabu ya yanga huku akitaja kisa chake na ahmed ally msemaji wa Simba sc #diamond #harmonize #middlesimba #simbasc #kondegang #zuchu #numeroyapastorntambabazi0788554028 #tanzaniafootball #simba #simba #simbanation #simba #tanzaniafootball #zuchu #kondegang #simbasc #middlesimba #harmonize #diamond #harmonize #middlesimba #simbasc #kondegang #zuchu #simba #tanzaniafootball #simba #simbanation #simba #tanzaniafootball #zuchu #kondegang #simbasc #middlesimba #harmonize #diamond #harmonize #middlesimba #simbasc #kondegang
Mashabiki wa Simba SC wametaka kocha afanye mabadiliko ya kikosi chao na kuanza kuwatumia vijana wadogo tofauti na kikosi kinachoanza kwenye mechi za hivi karibuni. Hayo wameyasema hii leo Aprili 13, 2024 kufuatia sare dhidi ya Ihefu ikiwa ni muendelezo usioridhisha wa kikosi chao katika michezo zaidi ya 3 ya mwisho Wakizungumza na mwananchi digital baada ya mchezo wao dhidi ya Ihefu kuisha wamesema ni muda sasa wa kupewa nafasi vijana wadogo kama Chassambi kuonyesha uwezo wao walionao na kudai wanaoanzishwa hivi Sasa hawajitumi.
Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot
Kiungo wa Kmc Awesu Awesu amefanya mahojiano na kituo cha habari cha Rickmedia kuhusian na tetesi za kuwasiliana na raisi wa Yanga Eng Hersi Said juu ya kutua kikosi cha yanga, Kiungo huyo amefunguka mengi akiweka wazi kuwa ni kweli amekuwa akiwasiliana na raisi wa Yanga na walishazungumza juu ya kutua Yanga . Lakini pia kiungo huyo amegusia sakata la kusema wao (Kmc) wanajikaza wakikutana na Simba tu lakini wakikutana na Yanga mambo yanakuwa tofauti .. ........................................................... Contact Us : 0742447854 ------------------------------------------------------------------------------- Instagram https://www.instagram.com/rickmediatz/?hl=en --------------------------------------------------------------------------------- Facebook https://web.facebook.com/rickmediatz --------------------------------------------------------------------------------- Website www.rickmediatz.com -----------------------------------------------------------------------------------