SIMBA PRO's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Simba pro tunafahamu kua Simba Pipo mbioni kukamilisha dili la king mkabaji wa klabu ya Hafia FC ambe ni Mohamed Damaro Camara kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali Sasa Dullah anatupitisha kufahamu kwa kina ubora wa nota huyo uwezo wake Dimbani na historia yake ya Soka kwa kina Kama unahitaji kuungwa kwenye group lets hakikisha unatuchek kwa namba 0626629644 uungwe kwenye group la SIMBA PRO. Tufollow Simba PRO katika account yet ya Instagram Link https://www.instagram.com/simba_professional?igsh=MXNjbGlmdjd3M2Vxdw==
Kuelekea mchezo mkubwa mchezo mgumu kwa Simba kaaika Robo fainali ya ligi ya mabingwa dcidi ya mabingwa wa muda lote wa Afrika klabu ya karne Al-ahly Dullah anakuja na tathmini ya kikosi ambacho kinapaswa kuanza dhidi ya Ahly katika mchezo huo kulingana na ubora wa kila mchezaji aliouonesha na Takwimu zake kiujumla JE UNASUMBULIWA NA MARADHI MBALIMBALI NA UMEKOSA SULUHISHO LA TATIZO LAKO? DOKTA ABDOUL Ana Malibu ya magonjwa yote sugu kama Kisukari Presha Vidonda vay tumbo Matatizo ya uzazi/Nguvu za Jaume Tezi Dume n.k anapatikana Kariakoo lakini anatuma dawa mikoani kote kwa uaminifu mkubwa mnoo..... Wasiliana nae kwa namba0747531853 Dullah Hassan napenda kuwakumbusha kua ili kujiunga na group letu la simba pro hakikisha unanchek kwa namba 0626629644 utaungwa na wenzio wallopo maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi ya Tanzania
Simba SC imewa suprise mashabiki wake leo hii siku ya mwisho wa Dirisha la usajili baada ya Kumtambulisha Pa Omar Jobe nota maya raia wa Gambia mwenye umri wa miaka 25 Kama Lawanda Dullah Hassan mchambuzi bora zaidi Tanzania memuelezea kwa kina nyota huyu historia yake ya Soka toka akiwa kwao nchini Gambia hadi sasa akiwa klabu yeke ya mwisho nchini Kaghastan Dullah Hassan napenda kuwakumbusha kua ili kujiunga na group letu la simba pro hakikisha unanchek kwa namba 0626629644 utaungwa na wenzio wallopo maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi ya Tanzania Tunadhaminiwa na NWAKA HARDWARE wauzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi wanapatikana Kariakoo mtaa wa kipata na Sikukuu Wasiliana nao kwa namba 0655155096 Pia mimi Dullah Hassan napenda kutoa Shukran kwa wanasimba Pro members waliotoa kidogo chao kwaajili ya kukamilisha ununuzi wa vifaa vya media yetu nasema Asanteni sana
Simba Pro tunakuletea Mambo usiyoyafahamu kuhusiana na Mshambuliaji anaetajwa kutua Simba katika dirisha hili la usajili Mambo hayo yatakufanya uweze kufahamu ubora wa nyota huyo pamoja na jinsi alivokua katika maisha yake ya Soka alikotoka kama utaona umepata kitu kimya basi usiache kusubscribe ili uwe wa kwanza kupata video zetu Mtangazaji wako na mchambuzi naitwa Dullah Hassan. Tunadhaminiwa na NWAKA HARDWARE wauzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi wanapatikana Kariakoo mtaa wa kipata na Sikukuu Wasiliana nao kwa namba 0655155096 Pia mimi Dullah Hassan napenda kutoa Shukran kwa wanasimba Pro members waliotoa kidogo chao kwaajili ya kukamilisha ununuzi wa vifaa vya media yetu nasema Asanteni sana
Fabrice Ngoma ni kiungo mkabaji Raia wa DRC mwenye umri wa miaka (29) Nyota huyu inasemekana amemalizana na simba na muda wowote atatambulishwa kunako klabu hiyo. Simba pro tumekuletea mambo matano ya kutafahamu kupitia nyota huyu Ndugu wana simba naomba kuchukua fursa hii kuwaomba mchangie pesa kwaajili ya ununuzi wa vifaa kwaajili ya media yetu hii pendwa nawaomba mchangie gharama za kupata Camera na Vifaa vya sauti ili tuweze kuwafikia mashabiki watoe maoni yao Gharama za vifaa ni 3,000,000 Namba ya malipo ni 0626629644 tutafute kwa namba hio pia kwa biashara πππ
Baada ya Simba kutangaza kutambulisha usajili wa Nyota IsmaΓ«l Sawadogo tumeona tukusogezee baadhi ya vitu ambavyo pengine bado hujavijua kuhusu Nyota huyu na Pengine haviongelewi Sana Kuwasiliana na 255Futball wasiliana na sisi kwa namba 0626629644 kwaajili ya matangazo au kutoa sapoti yako yoyote kuelekea Mabadiliko mapya #simbasc #simba #usajili #nguvumoja #soka #sftv #255futball #simbasctanzania
Jean Beleke nyota Raia wa DR Congo mwenye umri wa miaka 21 Ni mshambuliaji wa Kati mwenye uwezo mkubwa Sana. 255Futball tumekuja na historia yake ya maisha yake ya soka na kila kitu kumhusu pia tumegusia ubora wake #simbasc #simba #nguvumoja #usajili #soka #yanga #simbasctanzania #tetesi
Ihefu imefungwa mabao 7 katika michezo miwili waliyocheza na simba SC 255Futball tumekuletea uchambuzi wa kina kuhusiana ...
Augustine Okrah ana balaa tizama alivowalaza na viatu IHEFU jana #simba #simbasc #okrah #nguvumoja.
Mambo Sakho Jana alikua kwenye kiwango Bora tumekuekea baadhi ya matukio aliyoyafanya katika mchezo wa Jana #simbasc ...
Yanga wanafanikiwa kufuzu hatua ya makundi kwa ushindi wa ugenini Tena nchini Tunisia Hayo yaliwezekana kutokana na ...
Mchezo wa mkondo wa kwanza umemalizika na yanga wametoa suluhu bila kufungana na Club Africain de Tunis Nini kilipelekea ...
SIMBA inapokea kipigo kutoka Azam FC kwa Mara ya kwanza toka mwaka 2017 kipigo icho kinaifanya kupitwa alama tatu dhidi ...
Kutokana na namna Azam inavocheza kiufundi Tumegundua madhaifu kadhaa ya kiufundi ambayo yanaweza kuipa simba faida ...
Mchez wa Simba na Primeiro de Agosto ulimalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa bao 1 na simba kusonga hatua inayofuata ...