Simba SC 4-0 Tembo FC | Highlights | Azam Sports Federation Cup 31/01/2024
Simba SC 4-0 Tembo FC | Highlights | Azam Sports Federation Cup 31/01/2024

Simba SC imefuzu raundi ya tatu ya #AzamSportsFederationCup kwa kuichapa tembo FC mabao 4-0 kwenye dimba la Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Simba yamefungwa na Luis Miquissone dakika 11, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 31, Saleh Karabaka dakika ya 81 na Pa Omar Jobe dakika ya 83.



Magoli | Yanga 5 -1 Hausung | Azam Sports Federation Cup 30/01/2024
Magoli | Yanga 5 -1 Hausung | Azam Sports Federation Cup 30/01/2024

Clement Mzize amepiga hattrick, Yanga ikiichapa Hausung kutoka Njombe, mabao 5-1 katika mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC Mechi imepigwa Azam Complex, na magoli mengine yametoka kwa Jonas Mkude aliyefungua kitabu dakika ya 20, pamoja na Skudu Makudubela aliyefunga goli la pili dakika ya 25. Haya hapa magoli yote...



MURO: JOSEPH GUEDE GNADOU MTAMBO MPYA WA MABAO YANGA/ REKODI ZAKE TISHIO CAF...
MURO: JOSEPH GUEDE GNADOU MTAMBO MPYA WA MABAO YANGA/ REKODI ZAKE TISHIO CAF...

#tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumo Nukuu



HANS RAFAEL:JOSEPH GUEDE MTAMBO WA MABAO YANGA TECHNICAL TANZANIA HAKUNA MSHAMBULIAJI KAMA HUYU
HANS RAFAEL:JOSEPH GUEDE MTAMBO WA MABAO YANGA TECHNICAL TANZANIA HAKUNA MSHAMBULIAJI KAMA HUYU

#livestreaming #jobe #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #okrah #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva #karabaka #diamondplatnumz #mwijaku #moloko The Official YouTube Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : jrmtitatv@gmail.com Contact : +255 747 384 250



MBWADUKE: A MONSTER! HUYU STRAIKA MPYA SIMBA PA JOBE ANATISHA KWA KUTUPIA MABAO/ CHANGAMOTO NI...
MBWADUKE: A MONSTER! HUYU STRAIKA MPYA SIMBA PA JOBE ANATISHA KWA KUTUPIA MABAO/ CHANGAMOTO NI...

UFAFANUZI April 10, 2023, straika Pa Omar Jobe aliondoka Neman Grodno akiwa huru na kujiunga na klabu ya Zhenis. Na sasa amejiunga Simba akiwa huru pia kutokea Zhenis inayoshiriki ligi ya Kazakhstan. Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like #pa omar jobe #babacarsarr #Baleke #Jamhuri #gsm #modewji #imoro #cortes #jezimpya #kramo #taifastars #kibu #adelamrouche #taifastars #livestreaming #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva



🚨LIVE: SIMBA WABANWA MBAVU NA KMC FC MABAO 2-2 SIMBA WANAENDELEA KUHARIBU HESABU ZAO ZA UBINGWA
🚨LIVE: SIMBA WABANWA MBAVU NA KMC FC MABAO 2-2 SIMBA WANAENDELEA KUHARIBU HESABU ZAO ZA UBINGWA

🚨LIVE:KIKOSI CHA SIMBA NI BALAA, MOSES PHIRI YUKO SUB, MECHI ITAANZA SAA KUMI KAMILI DHIDI YA KMC



Simba SC 3-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 15/12/2023
Simba SC 3-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 15/12/2023

Simba SC imeitandika Kagera Sugar mabao 3-0 kwenye Dimba la Uhuru dar es Salaam, ikiwa ni muendelezo wa ligi kuu ya NBC.... Magoli ya Simba kwenye mchezo huu yamefungwa na Saidi Ntibazonkiza kwa penati dakika ya 45, Sadio Kanoute dakika ya 75 na John Bocco dakika ya 90.




« Previous Next »


Popular Tags

#Chris Paul  #Gareth Bale  #Paul Pogba  #Los Angeles Lakers  #Shaquille O'Neal  #David Silva  #Chicago Bulls  #Counter Attack Goals Football  #Best Ball Controls  #Kyrie Irving  

Popular Users

#DjokerNole  #KingJames  #espn  #BadgerMBB  #justinbieber  #TheRock  #cesc4official  #TheNotoriousMMA  #hunterpence  #ladygaga  #UKCoachCalipari  #fauxpelini  #OleksiakPenny