HIGHLIGHTS | DODOMA JIJI FC 0-0 SIMBA | NBC Premier League 25/02/2026
HIGHLIGHTS | DODOMA JIJI FC 0-0 SIMBA | NBC Premier League 25/02/2026

Tazama highlights jinsi Simba walivyobanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na Dodoma jiji, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania ukipigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.



Magoli yote | Team Kibwana 2-6 Team Dickson | mechi ya Hisani | Wape Tabasamu 22/06/2024
Magoli yote | Team Kibwana 2-6 Team Dickson | mechi ya Hisani | Wape Tabasamu 22/06/2024

WAPE TABASAMU: Team Kibwana kwa mara ya tatu imekula kichapo safari hii ikipigwa 6-2 na Team Job katika mchezo wa hisani wa #WapeTabasamu2024 uliopigwa Uwanja wa jamhuri. Morogoro. Magoli ya Team Job yametoka kwa Eng. Hersi Said (13'), Said Ndemla (234'), Prince Dube (27'), George Mpole (78'), Samson Mbangula (79') na Edwini , Balua 90'+4. Magoli yote mawili ya Team Kibwa yamefungwa na Saimon Msuva dakika ya 30 kwa free-kick na dakika ya 47 kwa penati. Haya hapa magoli yote manane.



ALLY KAMWE" PACOME,CHAMA,DUBE WANACHEZA TIMU MOJA/TUKIFUNGWA NAJIUZULU TIMU JOBU/KIBWANA KAPOA
ALLY KAMWE" PACOME,CHAMA,DUBE WANACHEZA TIMU MOJA/TUKIFUNGWA NAJIUZULU TIMU JOBU/KIBWANA KAPOA

Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri



MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024
MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024

Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78. Magoli yote manne haya hapa....



Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024
Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024

Goli pekee la Freddy Michael Koublan limeipa Simba pointi tatu muhimu, wakiichapa Dodoma Jiji 1-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Hii ni #NBCPremierLeague



ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA
ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.




Next »


Popular Tags

#Philadelphia 76ers  #Shaquille O'Neal  #Tristan Thompson  #LeBron James  #Zlatan Ibrahimovi  #Kevin Durant  #Best Ball Controls  #Zlatan Ibrahimovi  #Stephen Curry  #Mesut Ozil  

Popular Users

#BeingSalmanKhan  #realmadrid  #JJWatt  #TheCUTCH22  #LarryFitzgerald  #SHAQ  #rioferdy5  #ArianFoster  #oldhossradbourn  #BaileyLAKings  #josecanseco  #AdamSchefter  #KylieJenner  #themichaelowen  #neymarjr