EXCLUSIVE ALLY KAMWE AKANUSHA YANGA KUMSAJILI BAYO AZIZ FAHAD | KISA JEZI AJIBU MAPIGO KWA SIMBA
EXCLUSIVE ALLY KAMWE AKANUSHA YANGA KUMSAJILI BAYO AZIZ FAHAD | KISA JEZI AJIBU MAPIGO KWA SIMBA

Karibu kutazama mahojiano ya Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market" #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate



Henock Inonga aenda kuwasalimia wachezaji wa Taifa Stars
Henock Inonga aenda kuwasalimia wachezaji wa Taifa Stars

Tazama beki wa DR Congo, Hennock Inonga alivyokwenda kuwasilimia wachezaji wa Taifa Stars, walipokuwa kwenye mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Marty's jana Alhamisi ya Oktoba 9, 2024 Inonga kwa sasa anacheza soka nchini Morocco akitokea klabu ya Simba ya Tanzania. Stars itashuka dimbani leo Oktoba 10, 2024 dhidi ya DR Congo mchezo wa kundi ‘H’ #KufuzuAFCON2025. #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ2025 #MtoCongo #TaifaStars #Tanzania #CongoDR #DRCongo #CongoDRTanzania #DRCTanzania



🟡Duh!Exclusive Tazama ALI KAMWE Alichambua Kundi La YANGA/Wapinzani Wameingia Kwenye Mfumo/Point 12+
🟡Duh!Exclusive Tazama ALI KAMWE Alichambua Kundi La YANGA/Wapinzani Wameingia Kwenye Mfumo/Point 12+

Meneja Habari wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe Analichambua Kundi la Yanga Sc Mwanzo Mwisho baada ya Kuchezeshwa Kwa Droo ya Makundi hii leo na Yanga kuwafahamu wapinzani wake ambao ni Al Hilal ya Sudan, TP Mazembe Ya Congo, MC Alger ya Alger nao Young Africans Wenyew..#yangasc #simbasc #ahmedally #alikamwe #hersi #modewij #caf #ligiyamabingwa #azamtv #azamsports #azamfc #ligikuu #tff #nbc #gsm #michezo #burudani Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia



EXCLUSIVE AHMED ALLY:”KAMA HAUNA UEFA PRO LICENSE USIISEME SIMBA” | WANASIMBA HAWAPENDI VYA KUNYONGA
EXCLUSIVE AHMED ALLY:”KAMA HAUNA UEFA PRO LICENSE USIISEME SIMBA” | WANASIMBA HAWAPENDI VYA KUNYONGA

Ni mahojiano maalumu na afisa habari wa klabu ya Simba sc akizungumzia timu yake "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market" #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate



EXCLUSIVE:AHMED ALLY AMJIBU INJINIA HERSI |ATHIBITISHA FREDY KUUZWA | YANGA WANALAZIMISHA KUWA SIMBA
EXCLUSIVE:AHMED ALLY AMJIBU INJINIA HERSI |ATHIBITISHA FREDY KUUZWA | YANGA WANALAZIMISHA KUWA SIMBA

Ni mahojiano maalumu na afisa habari wa klabu ya Simba Ahmed Ally "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market" #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate



Tazama bao la kikatili la JEAN BALEKE alivyowatesa wapizani wa BAYERN MUNICH 🙌 Yanga 1-2 Augsburg
Tazama bao la kikatili la JEAN BALEKE alivyowatesa wapizani wa BAYERN MUNICH 🙌 Yanga 1-2 Augsburg

Klabu ya Yanga imekubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Augsburg katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mbombela, uliopo Mpumangala Afrika Kusini. Mshambuliaji mpya wa Yanga Jean Baleke ameanza vyema baada ya kufunga bao la kufutia machozi kwa timu yake huku Mads Pedersen na Niklas Dorsch wakiifungia Augsburg. FT: FC Augsburg 2-1 Yanga. Video Credit @azamtvtz @fcaugsburg #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #augsburg #alahlysc #miraj #baleke #chama #aziziki



Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela
Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.



ALLY KAMWE" DUBE ATAWAFUNGA SANA/CHAMA HAWEZI KUCHEZA SIMBA TENA/WANAOKOTA OKOTA WACHEZAJI/AZIZ KI
ALLY KAMWE" DUBE ATAWAFUNGA SANA/CHAMA HAWEZI KUCHEZA SIMBA TENA/WANAOKOTA OKOTA WACHEZAJI/AZIZ KI

Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Mpenja Tv,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya, Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.




« Previous Next »


Popular Tags

#Miami Heat  #Stephen Curry  #Ronaldinho  #Cleveland Cavaliers  #LeBron James  #Derrick Rose  #Kevin Durant  #Philadelphia 76ers  #Football Defensive Skills  #Counter Attack Goals Football  

Popular Users

#nyt4thdownbot  #IAmJericho  #criscyborg  #BMcCarthy32  #MileyCyrus  #incarceratedbob  #instagram  #StephenCurry30  #Buccigross  #KylieJenner  #si_vault  #JJWatt  #realmadrid  #kevinlove