Simba SC imenyakua Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Dimba la Gombani Pemba. Goli pekee la ubingwa limefungwa Yahya Zayd ambaye amejifunga dakika ya 62.
Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo. Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.
#FURAHA FM #FURAHATV #theyouthchoice KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA ELIMU,MAKALA BURUDANI NA MICHEZO KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE FURAHA TV. PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE FURAHA TV https://www.youtube.com/c/FURAHATV #hajimanara,#diamondplatnumz,#harmonize,#yangasc,#wasafi,#kondegang,#azamsports,#wasafimedia,#simba,#alikiba,#yangaleo,#yanga,#millardayoupdates,#simbasctanzania,#azamtv,#nguvumoja,#daimambelenyumamwiko,#simbasc,#mangekimambi,#shorts,#short,#viralvideo,#viral,#video,#youtubevideo,#zuchu,#zanzibar,#wemasepetu,#mwijaku,#wasafitv,#daressalaam,#ariseandshine,#upakolive,#mwamposa,#kibokoyawachawi,#rayvanny,#manara,#gigymoney,#makonda,#dance,#clamvevo,#marioo,#chekatu,#ajali,#breakingnews,#trendingvideos #mwanza #zuchu #udsm #cloudstv #arusha #babalevo #nbcpremierleague #wasafibet #life #sukari #kingkiba #bongomovie #ligikuutanzaniabara #manara #gigymoney #millardayosports #paula #marioo #umbea #mlimanicity #ireneuwoya #kariakooderby #cloudstvtz #kamatachallenge #shilole #naanzaje #taifastars #wapo #utawezana #shilingi #hajimanara #diamondplatnumz #harmonize #yangasc #wasafi #kondegang #azamsports #wasafimedia #simba #alikiba #yanga #millardayoupdates #simbasctanzania #azamtv #nguvumoja #daimambelenyumamwiko #wcb #simbasc #kimvikali #tanzania #zanzibar #wemasepetu #mwijaku #wasafitv #daressalaam #efm #rayvanny #diamond #kariakoo #mangekimambi Email | furahadigital@gmail.com ๐ด JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI? ๐ด WASILIANA NA FURAHA TV ๐ด Email: furahadigital@gmail.com ๐๐๐๐ฃ๐ ๐๐ค๐ช ๐๐ค๐ง ๐๐๐ฉ๐๐๐๐ฃ๐ ............................................................................................... Subscribe:https://www.youtube.com/c/FURAHATV
#FURAHA FM #FURAHATV #theyouthchoice KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA ELIMU,MAKALA BURUDANI NA MICHEZO KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE FURAHA TV. PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE FURAHA TV https://www.youtube.com/c/FURAHATV #hajimanara,#diamondplatnumz,#harmonize,#yangasc,#wasafi,#kondegang,#azamsports,#wasafimedia,#simba,#alikiba,#yangaleo,#yanga,#millardayoupdates,#simbasctanzania,#azamtv,#nguvumoja,#daimambelenyumamwiko,#simbasc,#mangekimambi,#shorts,#short,#viralvideo,#viral,#video,#youtubevideo,#zuchu,#zanzibar,#wemasepetu,#mwijaku,#wasafitv,#daressalaam,#ariseandshine,#upakolive,#mwamposa,#kibokoyawachawi,#rayvanny,#manara,#gigymoney,#makonda,#dance,#clamvevo,#marioo,#chekatu,#ajali,#breakingnews,#trendingvideos #mwanza #zuchu #udsm #cloudstv #arusha #babalevo #nbcpremierleague #wasafibet #life #sukari #kingkiba #bongomovie #ligikuutanzaniabara #manara #gigymoney #millardayosports #paula #marioo #umbea #mlimanicity #ireneuwoya #kariakooderby #cloudstvtz #kamatachallenge #shilole #naanzaje #taifastars #wapo #utawezana #shilingi #hajimanara #diamondplatnumz #harmonize #yangasc #wasafi #kondegang #azamsports #wasafimedia #simba #alikiba #yanga #millardayoupdates #simbasctanzania #azamtv #nguvumoja #daimambelenyumamwiko #wcb #simbasc #kimvikali #tanzania #zanzibar #wemasepetu #mwijaku #wasafitv #daressalaam #efm #rayvanny #diamond #kariakoo #mangekimambi Email | furahadigital@gmail.com ๐ด JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI? ๐ด WASILIANA NA FURAHA TV ๐ด Email: furahadigital@gmail.com ๐๐๐๐ฃ๐ ๐๐ค๐ช ๐๐ค๐ง ๐๐๐ฉ๐๐๐๐ฃ๐ ............................................................................................... Subscribe:https://www.youtube.com/c/FURAHATV
Allan Okello 'Star Boy', amepiga magoli yote matatu #Hattrick , Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya TRA United, mchezo wa raundi ya 29, Ligi Kuu ya NBC, uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Haya hapa magoli yote.
Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu) Tazama highlights
Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Haya hapa magoli yote...
Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.