Yanga Wanatutisha na Namba 6 Wao
Yanga Wanatutisha na Namba 6 Wao

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2025 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’…. #wasafi #wasafitv #wasafifm



๐Ÿ›‘#LIVE:YANGA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WALIOACHWA MSIMU HUU,YATAJA WACHEZAJI WOTE WAPYA LEO
๐Ÿ›‘#LIVE:YANGA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WALIOACHWA MSIMU HUU,YATAJA WACHEZAJI WOTE WAPYA LEO

#Yangasc #Usajilimpya #TetesizausajilimpyaYangasc Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Nyota mpya wa Yanga SC, Albert Kangwanda, amemaliza msimu wa 2025/26 kwa kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Zambia (MVP) baada ya kuonyesha kiwango bora katika msimu mzima. Takwimu zake za msimu kwenye michuano yote: Mechi: 32 Magoli: 17 Asisti: 9 Mchezaji Bora wa Ligi (MVP) Timu alizowahi kuchezea: Red Arrows FC Kafue Celtic FC Zanaco FC Kafue Celtic FC HNK Gorica NK Hrvatski Dragovoljac Red Arrows FC Al-Hilal Omdurman Red Arrows FC Spartanii Sportul Red Arrows FC Wananchi, mnaipa alama ngapi usajili wa Albert Kangwanda? Huyu ni Winga fundi sana na anapiga free kick vibaya mno 2. Peter shalulile mshambuliaji wa Namibia na Mamelod Sundown Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundows ,Peter Shalulile (32). Baada ya mazungumzo ya muda mrefu Shalulile amesinya miaka miwili Yangaโœ… Yanga wamempa $700,000 (1.8 bilion) kama Sign-on fee. Kipindi ambacho watu wote akili zao zipo kwa Stephane Aziz Ki, viongozi wa Yanga SC wao wakasema hapana-huko tulishapita na mambo yamebadilika! Wakati mnasubiri kuona nani anafuata baada ya Allan Okello (top player kusajiliwa na kuonesha), mabingwa wa nchi wakaona washushe chombo cha viwango vya juu kabisa vya CAF. Hapa hatuongelei mchezaji wa kawaida, naongelea funga kazi Bingwa wa Afrika akiwa na Mamelodi Sundowns, mashine hatari ya kucheka na nyavu, PETER SHALULILE anatua Jangwani๐ŸŸข๐ŸŸก rasmi on a free transfer . Takwimu za Peter Shalulile Mabao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL / SAPD): Mabao 112 (mabao 44 akiwa na Highlands Park na mabao 68 akiwa na Mamelodi Sundowns). Mabao ya CAF Champions League: Mabao 15 (yote akiwa na Mamelodi Sundowns, ambapo pia alikuwa mfungaji bora wa mashindano hayo mwaka 2023). Mabao kwenye Mashindano Yote (Klabu): Mabao 153 katika michezo 353 (mabao 49 Highlands Park na mabao 104 Mamelodi Sundowns). 3. Housseine Zakouani Winga kutoka Ufaransa lkn anawakilisha timu ya Taifa ya Comoro ni Winga fundi haswaaa 4. Cheikh Ibrahima Tourรฉ ni mshambuliaji mwenye asili ya Senegal na Ufaransa, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na kuongoza safu ya ushambuliaji. Kabla ya kujiunga na Yanga SC, Tourรฉ alikuwa akicheza nchini Saudi Arabia, ambako alikuwa na msimu bora uliomfanya kuwa miongoni mwa washambuliaji waliofanya vizuri. Takwimu zake msimu uliopita: Mechi: 34 Mabao: 20 Asisti: 5 Tourรฉ anajiunga na Yanga akiwa na rekodi nzuri na matarajio makubwa ya kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania. 5. Eric Mwijage Winga kutoka KMC amewahi kupita pia Kagera Sugar amesaini mkataba wa Miaka 2 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate 8. Hussein Juma Mihambo straika kutoka Mashujaa amewahi kupita jomo 9.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi Winga kutoka Mashujaa 10. Fred ngoma kiungo kutoka Olympic de Club safi Morocco 11. Marco maarufu kama mpemba D Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7.Farid Mussa free agent amejiunga na Coastal Union ya Tanga 8. Celestine Ecua 9. Israel Mwenda amerejea Singida BS 10.Lassine kouma 11. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda TRA United 12. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Walioongezewa mkataba mpya 1. Yao kouassi 2. Kibwana shomari 3.Salum Abubakari Sure boy 4. Bakari Mwamnyeto 5. Shadrack Boka 6. Denis Nkane Hii ndiyo orodha ya wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga SC kuelekea msimu wa 2026/27, huku klabu hiyo ikiendelea kusuka kikosi cha kupambana kwenye mashindano mbalimbali. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 1. Diarra Djigui ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 2. Kouassi Yao ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 3. Boka Shadrack ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ 4. Max Nzengeli ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช 5. Duke Abuya ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ 6. Allan Okello ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฆ 7. Peter Shalulile ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 8. Ibrahima Tourรฉ ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ 9. Albert Kangwanda ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ 10. Fred Ngoma ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒ 11. Housseine Zakouani ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด 12. Laurindo Depu 13. Pacome Zouzoua Pacome Zouzoua naye yupo nje kutokana na majeraha na taarifa zinaeleza kuwa hatakuwa sehemu ya msimu ujao



๐Ÿ”ด#Live: JANGWANI HAPATOSHI USIKU HUU - MAPOKEZI YA PETER SHALULIE NI BALAA...
๐Ÿ”ด#Live: JANGWANI HAPATOSHI USIKU HUU - MAPOKEZI YA PETER SHALULIE NI BALAA...

๐Ÿ”ด#Live: JANGWANI HAPATOSHI USIKU HUU - MAPOKEZI YA PETER SHALULIE NI BALAA... ============================================================= โšซ๏ธ JE, NA WEWE UNA HABARI? โšซ๏ธ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) โšซ๏ธ Email: globaltvonline.newsdesk@gmail.com โšซ๏ธ OUR PLAYLISTS: โšซ๏ธ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO โšซ๏ธ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua โšซ๏ธ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio โšซ๏ธ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews โšซ๏ธ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ โšซ๏ธ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: โšซ๏ธ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 โšซ๏ธ iOS:https://apple.co/38HjiCx



MWENDA AWAKALIA KOONI VIONGOZI SIMBA | WAACHE UROHO WA MADARAKA | TUTAFUNGWA TENA NA YANGA
MWENDA AWAKALIA KOONI VIONGOZI SIMBA | WAACHE UROHO WA MADARAKA | TUTAFUNGWA TENA NA YANGA

Facebook: https://www.facebook.com/EARadio/ Twitter: https://twitter.com/earadiofm WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vb14gwqDuMRecwGCR90q Subscribes: https://www.youtube.com/channel/UClYL5SSefPhe-FCxFvXOreg



MAGORI ATEMA CHECHE, HILI HATULIACHI/ AMSHUKURU SANA MO/ TIMU NI YA WANACHAMA/ HATUKUFUATA KATIBA
MAGORI ATEMA CHECHE, HILI HATULIACHI/ AMSHUKURU SANA MO/ TIMU NI YA WANACHAMA/ HATUKUFUATA KATIBA

Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA



MZE SAID!ACHAFUKWA NA VIONGOZI WA SIMBA HAWA NDIYO WANAOIHUJUMU TIMU/ARFAT NA HERS WAMEKUJA KUTULIZA
MZE SAID!ACHAFUKWA NA VIONGOZI WA SIMBA HAWA NDIYO WANAOIHUJUMU TIMU/ARFAT NA HERS WAMEKUJA KUTULIZA

kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes



Ricardo Momo Kahamia Simba, Anasubiri Maelekezo ya Ahmed Ally
Ricardo Momo Kahamia Simba, Anasubiri Maelekezo ya Ahmed Ally

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2025 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’…. #wasafi #wasafitv #wasafifm




Next »


Popular Tags

#Best Goalkeeper Saves  #Shaquille O'Neal  #Sergio Aguero  #Best Champions League  #Shot Goals  #Kyrie Irving  #Derrick Rose  #Manuel Neuer  #Philadelphia 76ers  #New York Knicks  

Popular Users

#DjokerNole  #akshaykumar  #nytimes  #RobbieSavage8  #nyt4thdownbot  #jimmyfallon  #itsBayleyWWE  #MariaSharapova  #JohnCena  #MichelleDBeadle  #SimplyAJ10  #rogerfederer  #BellaTwins  #GNev2  #kevinlove