Clement Mzize mchezaji Maarufu wa Klabu ya Yanga Nchini Tanzania, alitua Mkoani Iringa Nyumbani Safari yake ya kusakata Kumbukumbu (Kucheza Mpira wa Miguu) ilipoanzia. Mzize alifika mpaka uwanja wa Samora uliopo katika Manispaa ya Iringa kushiriki mechi ya kirafiki kati ya Timu yake ya Zamani ya marafiki zake wa kijiwe cha Bodaboda inayoitwa Majembe FC dhidi ya Vyaboli FC. Katika michezo huo, Clement Mzize alifanikiwa Kufunga magoli mawili katika Dakika za kipindi cha Kwanza yaliyoifanya Timu yake ya Zamani ya Majembe FC kuimbuka na Ushindi wa Goli 4 - 2. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments. Clement Mzize Yanga | Mzize Yanga | Clement Mzize Interview | Clement Mzize Skills | Clement Mzize Goals | Mzize Dukani | Mzize Shop | Mzize Leo | Mzize Own Goal | Mzize Goal vs Tp Mazembe | Highlights | LiveSubscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. EXCLUSIVE: CLEMENT MZIZE AFUNGUKA NYUMA YA PAZIA BAADA YA KUHITAJIKA NA VILABU VINGI AFRIKA HIGHLIGHTS: YANGA 3 - 1 TP MAZEMBE| CLEMENT MZIZE NA AZIZ KI WALIVYOMALIZA SHUGHULI KWA MKAPA. MZIZE ASHINDWA KUJIZUIA BAADA YA KUKUTA NYOMI LA WATU DUKANI KWAKE HUYU MZIZE NOMA! ONA ALIVYODAKA PENALTI KAMA DIARRA | APIGIWA SALUTE NA BENCHI LA UFUNDI #FocusDigitoTV .................. Tufuatilie Zaidi kupitia: INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest. Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing We Love You | Tunakupenda Regards Team FocusDigitoTV
FRIJI BOVU AFICHUA ATEBA KUTAKIWA NA MOJA YA KLABU YA UARABUNI SIMBA WAWEKEWA MZIGO MREFU BALAA #azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc #wasafi #yanga
Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like...
Simba Pro ni Channel maalum kwaajili ya mashabiki wa Simba ambayo inajihusisha na kuongelea klabu ya Simba kiundani, imebobea kwenye maswala ya usajili pamoja na uchambuzi wa michezo ya Simba Pia Simba Pro inafahamika ndani na nje ya nchi kuanzia Tanzania Kenya Uganda Burundi Congo United States Zambia China na Germany huko kote kuna watazamaji wanafatilia Channel hii Waendesha vipindi ni Heavyweight Dulla ambae anapatikana Instagram kama Heavyweight_dullah pamoja na Innocent Moshy ambae anapatikana Instagram na Tiktok kama Realmoshyy Simba Pro ndio channel ya mashbaiki wa simba inayofanya vizuri zaidi kuliko Channel yoyote ya mashabiki wa Simba Tanzania
Rais SAMIA Atoa Tamko Baaada ya YANGA Kushinda 1-0 Dhidi ya AL HILAL Kombe la Klabu Bingwa AFRIKA
Mtangazaji wa kabumbu kutoka Azam Media, Baraka Mpenja akitoa maoni yake kwa klabu ya Yanga baada ya Yanga kupata sare ya Bao 1-1 dhidi ya TP Mazembe.
Kamati ya Utendaji ya Yanga imekaa leo na kujadili masuala muhimu kuhusu klabu hiyo ikiwa ni pamoja na usajili wa dirisha dogo......#yangasc #usajili #dirishadogo #alikamwe #hajimanara #manara #yangasc #manaratv #dube #yangasc #alikamwe #manara #hersi #alikamwe #gamondi #pacome #dube #yangasc #subscribe #jahctivetv #azamtv #simbasc #azamfc #manara #alikamwe #ahmedally #michezo #ligikuu #tff #burudani #nbc #soka Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia
Klabu ya Yanga imepoteza mchezo wa pili wa hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kuchapwa bao 2-0 dhidi ya MC Alger katika mchezo uliomalizika nchini Algeria hii leo...#alikamwe #hajimanara #manara #yangasc #manaratv #dube #yangasc #alikamwe #manara #hersi #alikamwe #gamondi #pacome #dube #yangasc #subscribe #jahctivetv #azamtv #simbasc #azamfc #manara #alikamwe #ahmedally #michezo #ligikuu #tff #burudani #nbc #soka Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia