KAGERA SUGAR 0-2 MBEYA KWANZA: Timu ya Mbeya kwanza imeilaza Kagera Sugar 2-0 kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera katika mchezo wa ligi kuu ya NBC. Wafungaji katika mchezo huo ni Wlliam Edgar na Oscar Mwajanga.
#simba #kagera #Bodiyaligi Tazama hasira ya mashabiki wa simba na kagera baada ya kuhairishwa mechi ya Simba na Kagera sugar Kaitaba bukoba, ikisemekana ni baada ya wachezaji wengi wa Simba kuwa wagonjwa! Mashabiki wa simba waliosafiri kutoka, Chato na maeneo mengine ya mbali wamelalamikia mechi hiyo kuhairishwa, wakihoji upatikanaji wa pesa yako kama inarudishwa au la! Wakiitaka bodi ya ligi kuwa inafanya tathmini ya mchezo mapema! Homa inayoendelea dar es salaam imewanyima wanabukoba na maeno ya karibu nafasi ya kuwaona wachezaji wao wanaowapenda wa simba akiwemo Inonga, MK14, Medie Kagere, Banda na wengine wengi.
Mpenja Tv ipo Mkoani Kagera kukusogezea matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Kagera dhidi ya Simba. . Licha ya mechi hiyo kuahirishwa Kagera sugar watua uwanja wa kaitaba. . Fungua video hii kupata habari kamili. #kagerasugar #simbasc #mpenjatv
Timu ya Geita Gold FC leo imepata ushindi wake wa kwanza kwenye #NBCPremierLeague kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, mechi ikipigwa kwenye Dimba la Kaitaba, Bukoba. Magoli yote mawili ya Geita yamefungwa na George Mpole huku Kagera Sugar wakipata bao lao kupitia kwa Mbaraka Yussuph.
Timu ya Geita Gold FC leo imepata ushindi wake wa kwanza kwenye #NBCPremierLeague kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, mechi ikipigwa kwenye Dimba la Kaitaba, Bukoba. Magoli yote mawili ya Geita yamefungwa na George Mpole huku Kagera Sugar wakipata bao lao kupitia kwa Mbaraka Yussuph.
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana Play Store (Android): https://bit.ly/3kYnnsr App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii; Twitter: https://twitter.com/TBConlineTZ Instagram: https://www.instagram.com/tbc_online/ Facebook: https://www.facebook.com/TBConlineTZ
Feisal Salum 'Feitoto' amefunga goli pekee kwa Yanga na kuipa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Tazama bao kenyewe. #Feitoto #YangaSC #KageraSugar Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Septemba 29, 2021 Uwanja wa Kaitaba, Kagera, TPL: FT: Kagera Sugar 0-1 Yanga SC (Mfungaji Feisal Salum 'Fei Toto'). Mashabiki wa Yanga SC wamwagika baada ya ushindi, ona vibe lao hapa. #YangaSC #KageraSugar #TPL #MpenjaTV