Feisal Salum 'Feitoto' amefunga goli pekee kwa Yanga na kuipa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Tazama bao kenyewe. #Feitoto #YangaSC #KageraSugar Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz