Tazama mnyama Simba walivyoingia Samora iringa Kuwararua Lipuli FC
Tazama mnyama Simba walivyoingia Samora iringa Kuwararua Lipuli FC

Bofya https://pma.bet/2vruKDx kujiunga na timu ya washindi na wewe upate nafasi ya kushinda mamilioni



Yanga 2-1 Lipuli, ONA YANGA Walivyoshuka Taifa vs Lipuli FC Ligi Kuu
Yanga 2-1 Lipuli, ONA YANGA Walivyoshuka Taifa vs Lipuli FC Ligi Kuu

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars YANGA SC imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ngumu kwao kihistoria, Lipuli FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, Yanga SC nayofundishwa na Mbelgiji Luc Aymael anayesaidiwa na mzawa, Charles Boniface Mkwasa, kocha wa Fiziki, Riedoh Berdien kutoka Afrika Kusini na kipa wa zamani wa klabu, Manyika Peter anayewanoa walinda milango wa timu hiyo – inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 17 na kupanda nafasi ya tatu. Sasa inazidiwa pointi nne na Azam FC na pointi 16 na vinara na mabingwa watetezi, Simba SC ambao hata hivyo kwa pamoja wamecheza mechi mbili mbili zaidi. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Metacha Mnata, Juma Abdul, Jaffar Mohamed, Lamine Moro, Said Juma ‘Makapu’, Papy Kabamba Tshishimbi, Ditram Nchimbi/Deus Kaseke dk71, Haruna Niyonzima/Ally Mtoni dk81, Yikpe Gislain/David Moringa ‘Falcao’ dk61, Balama Mapinduzi na Bernard Morrison. Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Lipuli FC; Deogratius Munishi ‘Dida’, David Kameta, Paul Ngalema, Peter Mwangosi, David Mwasa, Novaty Lufunga, Said Mussa/Zubery Ada dk72, Freddy Tangalu, Paul Nonga, Daruweshi Saliboko na Keneth Masumbuko. Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Angalia jinsi Azam ilivyopata sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Samora, Iringa
Angalia jinsi Azam ilivyopata sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Samora, Iringa

Timu ya Azam FC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo 02/02/2020 kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa.



Azam yachomoa bao dakika za majeruhi ikilamishwa sare ya 1-1 na Mbeya City - Tazama magoli
Azam yachomoa bao dakika za majeruhi ikilamishwa sare ya 1-1 na Mbeya City - Tazama magoli

Timu ya Azam FC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo 02/02/2020 kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa. Wenyeji Mbeya City wametangulia kufunga kupitia kwa Absalom Chidiebele dakika ya 9, lakini Azam wakasawazisha dakika ya 88 kupitia kwa Richard Djodi.



Lawama Watupiwa Simba, eti Kuleta NYUKI Mechi ya Yanga vs Iringa United  "Mboto"
Lawama Watupiwa Simba, eti Kuleta NYUKI Mechi ya Yanga vs Iringa United "Mboto"

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



SIMBA Yaichapa 3-0 KAGERA Sugar,  Yaongoza Ligi, Kagere Atupia 2
SIMBA Yaichapa 3-0 KAGERA Sugar, Yaongoza Ligi, Kagere Atupia 2

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imeanza mapema utawala katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Septemba 26, 2019. Kikosi cha Kagera Sugar kilikuwa; Said Kipao, Mwaita Gereza, David Luhende, Hassan Isihaka, Erick Kyaruzi/Juma Nyoso dk46, Zawadi Mauya, Awesu Awesu, Ally Ramadhani, Evarigestus Mjwahuki, Abdallah Seseme na Yussuf Mhilu/Peter Mwalyanzi dk50. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Serge Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Deo Kanda/Miraj Athuman dk62, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Wilker Da Silva dk87, Sharaf Eldin Shiboub na Ibrahim Ajibu/Hassan Dilunga dk71. Mechi nyingine ya Ligi Kuu, Lipuli FC wamelazimishwa sare ya 2-2 na Mbeya City Uwanja wa Samora mjini Iringa. Mabao ya Lipuli FC yamefungwa Issa Rashid dakika ya 15 na Paul Nonga dakika ya 77, wakati ya Mbeya City yamefungwa na George Chota dakika ya 47 na Ibrahim Mwakamole dakika ya 86. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars



MAZOEZI YA SIMBA Kuivaa AS VITA OKWI, NYONI Wakichafua / DO OR DIE
MAZOEZI YA SIMBA Kuivaa AS VITA OKWI, NYONI Wakichafua / DO OR DIE

MAZOEZI YA SIMBA Kuivaa AS VITA/DO OR DIE Wachezaji wawili wa klabu ya Simba, mshambuliaji Emmanuel Okwi na beki Erasto Nyoni, leo wamefanya mazoezi ya pamoja katika viwanja vya Boko Veteran kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club ya DR Congo. Okwi aliumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Lipuli FC ya Iringa na alikosa mchezo dhidi ya JS Saoura Ugenini huku Erasto Nyoni aliumia kwenye michuano ya Mapinduzi Cup na kukosa mechi nne za Caf Champions League hatua ya makundi. Wawili hao wanapewa nafasi kubwa ya kucheza dhidi ya AS Vita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi ya wiki hii. Kwa mujibu wa Daktari Mkuu wa Simba, Yassin Gembe, ameeleza maendeleo yao yanaenda vizuri na jukumu linabaki kwa Mwalimu kama anaweza akawapanga kwenye mechi hiyo. #SIMBAVSASVITA #NYONI #OKWI https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



DROO YA ROBO NA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM SPORTS (ASFC)
DROO YA ROBO NA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM SPORTS (ASFC)

Droo ya hatua ya robo na nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports imefanyika leo ndani ya Studio za Azam TV ambapo mabingwa wa zamani wa kombe hilo Yanga SC wamepangwa kukutana na Alliance FC, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Wakati Yanga ikipelekwa Mwanza, mabingwa wengine wa zamani wa michuano Azam FC wamepelekwa mkoani Kagera ambako itakutana na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba na KMC itacheza na African Lyon. Kwa upande wa wana fainali wa msimu uliopita timu ya Singida United, wao watasafiri hadi mkoani Iringa kukabiliana na Lipuli FC kwenye hatua hiyo ya robo fainali. Kwa upande wa nusu fainali, ratiba imekaa kama ifuatavyo:- Lipuli/Singida United vs Alliance/Yanga. Kagera Sugar/Azam vs KMC/African Lyon




« Previous Next »


Popular Tags

#Stephen Curry  #Football Skills  #Best Ball Controls  #David Silva  #Best Champions League  #Luis Suarez  #Best Goals  #Tristan Thompson  #Counter Attack Goals Football  #Allen Iverson  

Popular Users

#BaileyLAKings  #DeionSanders  #DwyaneWade  #LilTunechi  #Oprah  #obj  #incarceratedbob  #BeingSalmanKhan  #StephenCurry30  #alexmorgan13  #iamsrk  #SteveNash  #SimplyAJ10  #serenawilliams