Uchambuzi AZAM (UFM): AZAM FC 4-1 RUVU SHOOTING, wamnyea VIKALI KOCHA kwa KAULI yake MBOVU eti wame.
Uchambuzi AZAM (UFM): AZAM FC 4-1 RUVU SHOOTING, wamnyea VIKALI KOCHA kwa KAULI yake MBOVU eti wame.

#simba #yanga #azamtv #millardayo #mpenjatv #globaltvonline #swahilimedia #dar24media #subscribe kwa taarifa nyingi zaidi..ccc..2021



HAJI MANARA KUFIKISHWA MAHAKAMANI?/ MDOMO WAMPONZA!/ "USHAHIDI UPO WAZI"
HAJI MANARA KUFIKISHWA MAHAKAMANI?/ MDOMO WAMPONZA!/ "USHAHIDI UPO WAZI"

Mkurugenzi wa Kampuni ya Vunja Bei Fred Ngajiro 'Fred Vunjabei" amekiri kusikia sauti inayodaiwa kuwa ni ya Msemaji wa klabu ya Young Africans Haji Manara, inayoendelea kusambaa mitandaoni akiisema vibaya kampuni yake. Sauti inayodaiwa kuwa ni ya Haji Manara inasikika ikieleza namna ambavyo Fred vunja Bei alivyop[ewa pesa na Mkurugenzi wa GSM ili asafirishe mziego wa jezi za klabu ya Simba ili kuzileta Tanzania. Vunjabai amesema baada ya kusikia sauti hiyo alikaa chini na jopo la wanasheria wake na sasa anasubiri jibu sahihi la jambo gania napaswa kulichukua kutokana na kampuni yake kuchafuliwa. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #hajimanara #vunjabei #simbasc



MORRISON KUWEKEWA ULINZI BOTSWANA/ HALI NI MBAYA SANA!/ SIMBA WAJIANDAA KUMLINDA!
MORRISON KUWEKEWA ULINZI BOTSWANA/ HALI NI MBAYA SANA!/ SIMBA WAJIANDAA KUMLINDA!

Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison ameanza kuitia hofu Jwaneng Galaxy, kuelekea mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa ligi ya Mabingwa Barani Afrika, hatua ya Kwanza utakaochezwa mwishoni mwa juma hili mjini Gaborone, Botswana. Simba SC itaanzia ugenini Oktoba 17, kisha itarejea nyumbani jijini Dar es salaam tayari kwa mchezo wa Mkondo wa pili uliopangwa kucheza Oktoba 22, Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam. Jina la Morrison limetajwa na Kocha Mkuu wa Jwaneng Galaxy Morena Ramoreboli, kama mmoja wa wachezaji hatari wa Simba SC na anatakiwa kuchungwa sana kwenye michezo yote miwili. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #bernardmorrison#simbasc #hajimanara



MO DEWJI AMJIBU MANARA/ "NINA FURAHA"/ ATANGAZA AHADI MPYA SIMBA SC
MO DEWJI AMJIBU MANARA/ "NINA FURAHA"/ ATANGAZA AHADI MPYA SIMBA SC

MWENYEKITI wa bodi ya wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji' kupitia mitandao yake ya kijamii ameweka wazi kuwa kambi ya maandalizi ya msimu ujao ya kikosi hicho yatafanyika Marekani. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #modewji #hajimanara #simbasc



AL AHLY WAMTAMBULISHA MIQUISSONE/ PITSO AMPA DARAJA LA JUU/ WAANDISHI WA HABARI WASHANGAZWA!
AL AHLY WAMTAMBULISHA MIQUISSONE/ PITSO AMPA DARAJA LA JUU/ WAANDISHI WA HABARI WASHANGAZWA!

KOCHA Mkuu wa Al Ahly ya Misri raia wa Afrika Kusini, Pitso Mosimane, amemfungukia kwa mara ya kwanza aliyekuwa winga wa Simba, Luis Miquissone kuwa ni mchezaji hatari kutokea Afrika kwasasa na ndiyo maana amemsajili kwenye kikosi chake. Luis aliyejiunga na Simba, Januari 2020, akitokea UD Songo ya kwao Msumbiji, mwishoni mwa msimu huu aliachana rasmi na timu hiyo kisha kujiunga na Al Ahly kwa mkataba wa miaka mitatu. Taarifa kutoka nchini Misri, imeeleza kuwa, tangu Luis ajiunge na klabu hiyo amekuwa gumzo kubwa, jambo ambalo limewafanya waandishi wa nchini humo kumuuliza kocha Mosimane juu ya uwezo wake na kujikuta akimmwagia sifa lukuki. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #simbasc #yangasc #luismiquissone



SADIO KANOUTE ATUA MOROCCO/ AANZA MAZOEZI NA WENZAKE/ KUTAMBULISHWA SIMBA SC
SADIO KANOUTE ATUA MOROCCO/ AANZA MAZOEZI NA WENZAKE/ KUTAMBULISHWA SIMBA SC

Kiungo mchezeshaji kutoka nchini Mali, Sadio Kanoute, amejiunga na kambi ya Simba nchini Morocco kujiandaa na msimu mpya wa 2021/22. Kiungo huyo aliyeletwa kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Mzambia, Clatous Chama, amesajiliwa na Simba kwa la dola 150,000 (zaidi ya Sh 348Mil) akitokea Al ahly Benghazi ya nchini Libya. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #sadiokanoute #simbasc #usajili



MO AFANYA KUFURU YA FEDHA ?/ UBINGWA WA AFRIKA UNAKUJA TANZANIA/SIMBA KUJAZWA MIHELA LEO ?
MO AFANYA KUFURU YA FEDHA ?/ UBINGWA WA AFRIKA UNAKUJA TANZANIA/SIMBA KUJAZWA MIHELA LEO ?

-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Modewji #Simbasc #Manara




« Previous Next »


Popular Tags

#Chris Paul  #Neymar  #Franck Ribery  #Amazing Solo Goals  #Zlatan Ibrahimovi  #Goal Celebrations  #Los Angeles Lakers  #Kawhi Leonard  #New York Knicks  #Cristiano Ronaldo  

Popular Users

#billbarnwell  #serenawilliams  #HEELZiggler  #MileyCyrus  #fauxpelini  #cesc4official  #JJWatt  #alexmorgan13  #ATLHawks  #narendramodi  #DjokerNole  #Oprah  #MikePereira  #TimTebow  #BrunoMars