MWENYEKITI wa bodi ya wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji' kupitia mitandao yake ya kijamii ameweka wazi kuwa kambi ya maandalizi ya msimu ujao ya kikosi hicho yatafanyika Marekani. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #modewji #hajimanara #simbasc