Makambo ni kama amechoka maisha ya Guinea akiwa na klabu ya AC Horoya iliyomnunua miaka mitatu iliyopita akitokea Yanga na sasa yuko tayari kurejea tena Jangwani kuendelea kuwajaza kama alivyofanya wakati akikiwasha chini ya kocha Mwinyi Zahera. Young Africans itasajili mastraika wawili wazuri ukiwa ndio mpango namba moja wa mabosi wa timu hiyo iliyo chini ya Kocha Nasreddin Nabi, na jina la Makambo linaonekana kuzidi kung’aa katika msako wa mabosi hao wa klabu hiyo ambayo usiku wa jana ilikuwa uwanjani kuvaana na Mwadui katika mechi ya Ligi Kuu. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #yangasc #makambo #usajiliyangasc
Yanga SC, yamsimamisha kazi mlindo mlango wake, Metscha Mnata kufuatia kufanya vitendo visivyo kwa kiungwana. #Metachamnata #Yangasc #Feitoto
WASHAMBULIAJI WATANO KUTOKA KATIKA NCHI ZA DR CONGO, IVERY COAST NA ZAMBIA WANATAJWA KUWA MIONGONI MWA WATAKAOSAJILIWA MWISHONI MWA MSIMU HUU, ILI KUBORESHA KIKOSI CHA YOUNG AFRICANS. MWENYEKITI WA KAMATI YA USAJILI YA YOUNG AFRICANS AMEFUNGUKA KUHUSU UKWELI WA SUALA HILO HUKU AKIWATAKA MASHABIKI NA WANACHAMA KUWA WASTAHAMILIVU KATIKA KIPINDI HIKI. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #yangasc #simbasc #usajilibongo
MSAFARA wa Simba wa watu wasiopungua 40 ukiwa Johannesburg, Afrika Kusini tayari kwa maandalizi ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaochezwa katika Uwanja wa FNB ‘Soccer City’ uliopo jijini humo, Jumamosi Mei 15. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #kaizerchiefs #simbasc #cafcl
-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #simbasc #caf #taarifabilamipaka
-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Carloscarlinho #Fistonabdulrazck #Dicksonjob
-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Yangasc #Namungofc #Metachamnata
Subscribe kutazama video nyingine nzuri kwa kubofya… https://www.youtube.com/channel/UCCJtvHe44RGZAVVhI9q7m1Q FACEBOOK: https://www.facebook.com/Dar24Tz/... TWITTER: https://twitter.com/Dar24News Tembelea https://http://dar24.com/, WEBSITE: http://dar24.com FACEBOOK: https://www.facebook.com/Dar24Tz/ TWITTER: https://twitter.com/Dar24News INSTAGRAM: https://www.instagram.com/dar24news/https://www.instagram.com/dar24news/ ... FACEBOOK: https://www.facebook.com/Dar24Tz/... TWITTER: https://twitter.com/Dar24News Tembelea https://http://dar24.com/, Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… https://www.youtube.com/channel/UCCJtvHe44RGZAVVhI9q7m1Q WEBSITE: http://dar24.com FACEBOOK: https://www.facebook.com/Dar24Tz/ TWITTER: https://twitter.com/Dar24News INSTAGRAM: https://www.instagram.com/dar24news/https://www.instagram.com/dar24news/ -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Dar24 #Dar24Media