Simba SC 2-1 Mashujaa FC | Highlights| NBC Premier League - 02/05/2025
Simba SC 2-1 Mashujaa FC | Highlights| NBC Premier League - 02/05/2025

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Mashujaa FC. Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 2-1. Magoli ya Simba yamefungwa na Leonel Ateba kwa mikwaju ya penati. Goli la Mashujaa limefungwa na Jafary Kibaya



Zimamoto 1-1 (1-3) Yanga | Penati | Muungano Cup 2025 - 29/04/2025
Zimamoto 1-1 (1-3) Yanga | Penati | Muungano Cup 2025 - 29/04/2025

#MuunganoCup2025: Tazama golikipa wa Yanga SC, Abuutwalib Mshery alivyoonesha umahiri wake katika kupangua mikwaju ya penati. Fainali ni JKU dhidi ya Yanga SC, Alhamisi Mei 1, 2025 saa 1:15 usiku FT’: Zimamoto 1-1 Yanga SC (Pen:1-3) #TanzaniaUnionSuperLeague #TUSL #MuunganoCup2025 #MuunganoCup #KombeLaMuungano #SuperLeague #YeNaniAsife #Zimamoto #YangaSC #ZimamotoYanga



KVZ FC 0-2 Yanga | Highlights | Muungano Cup 2025 - 26/04/2025
KVZ FC 0-2 Yanga | Highlights | Muungano Cup 2025 - 26/04/2025

Tazama matukio yote makubwa yaliyojiri kwenye mchezo kati ya KVZ dhidi ya Yanga SC kwenye Muungano Cup Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 2-0 Wafungaji ni Stephane Aziz Ki na Denis Nkane



JKU SC 2-2 (6-5) Singida Black Stars | penati zote | Muungano Cup 2025 - 24/04/2025
JKU SC 2-2 (6-5) Singida Black Stars | penati zote | Muungano Cup 2025 - 24/04/2025

#MuunganoCup2025: Mikwaju ya peanati iliyowatupa nje Singida Black Stars baada ya kumaliza dakika 90 kwa sare ya 2-2 FT’: JKU SC 2-2 Singida BS (penati: 6-5) #TanzaniaUnionSuperLeague #TUSL #MuunganoCup2025 #MuunganoCup #KombeLaMuungano #JKUSC #SingidaBlackStars



Fountain gate FC 0-4 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League - 21/04/2025
Fountain gate FC 0-4 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League - 21/04/2025

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo NBC Premier League kati ya Fountain Gate dhidi ya Yanga Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 4-0 Magoli yamefungwa na Clatous Chama, Aziz Ki na Mzize ambaye amefunga magoli mawili.



Yanga SC 8-1 Stand United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025
Yanga SC 8-1 Stand United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025

Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49.



Magoli | Yanga yaiua Stand United 8-1 | Aziz Ki apiga manne | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025
Magoli | Yanga yaiua Stand United 8-1 | Aziz Ki apiga manne | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025

Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49. Haya hapa magoli yote tisa...



Azam FC 1-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 10/04/2025
Azam FC 1-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 10/04/2025

Yanga SC imelipa kisasi kwa kuitandika Azam FC mabao 2-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.... Yanga imepata mabao yake yote mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa Pacome Zouzoua dakika 11 na Prince Dube dakika ya 34, huku Azam FC wakipata bao lao dakika ya 81. Tazama magoli....




« Previous Next »


Popular Tags

#Thomas Muller  #Best Goals  #Mesut Ozil  #Cristiano Ronaldo  #Best Goalkeeper Saves  #Ronaldinho  #Derrick Rose  #LeBron James  #Paul Pogba  #Zlatan Ibrahimovi  

Popular Users

#b_ryan9  #selenagomez  #DeAndre  #AdamSchefter  #baseballpro  #DanicaPatrick  #SteveNash  #BarackObama  #realmadrid  #nytimes  #IAmJericho  #WWE  #twitter  #RyanBabel