Simba SC 2-1 Mashujaa FC | Highlights| NBC Premier League - 02/05/2025 by @Azam TV - Post Details

Simba SC 2-1 Mashujaa FC | Highlights| NBC Premier League - 02/05/2025

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Mashujaa FC. Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 2-1. Magoli ya Simba yamefungwa na Leonel Ateba kwa mikwaju ya penati. Goli la Mashujaa limefungwa na Jafary Kibaya

Similar Posts!

Yanga SC 1-2 Aigles du Congo | Highlights | Yanga Day 2026 - 09/08/2026
Yanga SC 1-2 Aigles du Congo | Highlights | Yanga Day 2026 - 09/08/2026

YANGA DAY: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Yanga SC dhidi ya Aigles du Congo. Goli la Yanga limefungwa na Peter Shalulile na magoli ya Aigles du Congo yamefungwa na Talasy Tonny. FT: Yanga SC 1-2 Aigles du Congo #YangaDay #YangaSC #MwakaniTena #Wananchi #MechiYaKirafiki #YangaSC #AiglesduCongo



SIMBA DAY 2026 | Simba SC 0-1 Kenya Police | Highlights - 08/08/2026
SIMBA DAY 2026 | Simba SC 0-1 Kenya Police | Highlights - 08/08/2026

SIMBA DAY: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya kirafiki kati ya Simba SC dhidi ya Kenya Police Goli limefungwa na Elvis Rupia. FT: Simba SC 0-1 Police Kenya #SimbaDay #SimbaSC #Miaka90 #MechiYaKirafiki #SimbaSC #KenyaPolice



SIMBA DAY 2026 | Ahmed Ally aingia na Simba wawili wa porini
SIMBA DAY 2026 | Ahmed Ally aingia na Simba wawili wa porini

SIMBA DAY: Eba hii kali…Semaji Ahmed Ally aingia na simba wawili wa porini…Kila mtu abaki mdomo wazi. Neno moja tu kwa semaji Ni shamrashamra za #SimbaDay #SimbaDay #SimbaSC #Miaka90



UZINDUZI WA YANGA DAY 2026 | BUKOMBE, GEITA | AZAMTV
UZINDUZI WA YANGA DAY 2026 | BUKOMBE, GEITA | AZAMTV

Fuatilia uchambuzi na mengi yaliyojiri dimbani baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba vs Yanga uliopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam na kumalizika kwa sare ya mabao 2-2. Ndani ya studio Patrick Nyembera akiwa na wachambuzi Abissay Stephen na Godlisten Maro. Matangazo yako LIVE #AzamSports1HD lakini unaweza pia kuitazama kupitia katika #AzamTVMaxApp ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Simba SC 0-0 Mogadishu City Club | Highlights | CECAFA Kagame Cup 24/07/2026
Simba SC 0-0 Mogadishu City Club | Highlights | CECAFA Kagame Cup 24/07/2026

Simba SC imekabwa koo na kulazimishwa suluhu na Mogadishu City Club ya Somalia, katika mchezo wake wa kwanza wa Kombe la Kagame 2026, ukipigwa kwenye Dimba la Kigali, Rwanga. Kwenye mchezo huu Simba imewatumia baadhi ay nyota wake wapya akiwemo Ibrahim Doumbia , Cooper, Kelvin Nashon na wengine. Tazama highlights.



Ally Kamwe azungumzia tetesi za Aziz Ki kurejea Yanga
Ally Kamwe azungumzia tetesi za Aziz Ki kurejea Yanga

KAMWE AKWEPA KUMZUNGUMZIA AZIZ KI: Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe anasema hakuna timu Afrika ambayo haipendi kuwa na mchezaji mwenye daraja la Stephane Aziz Ki, japo amekwepa kuzungumzia kwa undani tetesi zinazomhusisha kurejea mitaa ya Jangwani. Kamwe pia amesema kuna mchezaji walimpandisha thamani makusudi ili watu walipe hela nyingi. Kamwe amesema hayo leo kwenye mahojiano maalumu kupitia kipndi cha U-LIVE cha @ufmradiotz #YangaSC #Kamwe #UFM #ULIVE