Polisi Tanzania 1-0 Mwadui | Goli la Jimy Shoji | VPL 18/07/2021
Polisi Tanzania 1-0 Mwadui | Goli la Jimy Shoji | VPL 18/07/2021

Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi, Polisi Tanzania imepata ushindi wa bao 1-0 dnidi ya Mwadui FC ukiwa ni mmoja kati ya mechi tisa zilizochezwa leo kuhitimisha msimu wa ligi kuu Tanzania bara 2020/21. Goli pekee la Polisi kwenye mchezo huu limefungwa na Jimy Shoji Mwaisondola. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Polisi Tanzania 2-1 Namungo FC | Highlights | VPL 15/04/2021
Polisi Tanzania 2-1 Namungo FC | Highlights | VPL 15/04/2021

POLISI VS NAMUNGO: Timu ya Namungo FC imepoteza mchezo kwa kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Polisi Tanzania katika mwendelezo wa ligi kuu Tanzania Bara, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Ushirika, mjini Moshi. Magoli ya Polisi Tanzania yamefungwa na Kassim Haruna pamoja na Gelard Mathias Mdamu huku Fred Tangalo akifunga bao pekee la Namungo. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli | Polisi Tanzania 2-1 Namungo FC | VPL 15/04/2021
Magoli | Polisi Tanzania 2-1 Namungo FC | VPL 15/04/2021

POLISI VS NAMUNGO: Timu ya Namungo FC imepoteza mchezo kwa kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Polisi Tanzania katika mwendelezo wa ligi kuu Tanzania Bara, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Ushirika, mjini Moshi. Magoli ya Polisi Tanzania yamefungwa na Kassim Haruna pamoja na Gelard Mathias Mdamu huku Fred Tangalo akifunga bao pekee la Namungo. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



🔴#LIVE​​: POLISI TANZANIA vs NAMUNGO ( 2 - 1 ) - LIGI KUU BARA, UWANJA wa USHIRIKA...
🔴#LIVE​​: POLISI TANZANIA vs NAMUNGO ( 2 - 1 ) - LIGI KUU BARA, UWANJA wa USHIRIKA...

🔴#LIVE​​: POLISI TANZANIA vs NAMUNGO ( 2 - 1 ) - LIGI KUU BARA, UWANJA wa USHIRIKA... NI Mtangane wa ligi kuu bara kati ya Polisi TZ vs Namungo FC, umechezwa leo Aprili 15, katika uwanja wa Ushirika Moshi.. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline



Polisi Tanzania 0-1 Azam FC  |  Highlights - VPL 31/12/2020
Polisi Tanzania 0-1 Azam FC | Highlights - VPL 31/12/2020

Hatimaye Azam FC imepata ushindi wake wa kwanza baada ya mechi saba, ikiichapa Polisi Tanzania bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa Desemba 31, 2020 kwenye uwanja wa Ushirika, Moshi. Goli pekee la Azam lilitiwa nyavuni na Ismail Aziz kada dakika ya 88. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Simba kuwasili Dar usiku huu
Simba kuwasili Dar usiku huu

Kikosi cha Simba kinarejea jijini Dar es Salaam usiku huu kikitokea Moshi Kilimanjaro tayari kwa ajili ya kujiandaa na mechi yake ya marudiano dhidi ya Plateau United Jumamosi hii. #SimbaPlateau #Simba #Plateau Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Simba walivyomaliza ligi kwa kuitandika Polisi Tanzania 2-1 - Highlights 26/07/2020
Simba walivyomaliza ligi kwa kuitandika Polisi Tanzania 2-1 - Highlights 26/07/2020

Ilikuwa ni mechi ya kufungia msimu wa VPL kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba SC iliyopigwa kwenye Dimba la Ushirikia, Moshi, Simba wakipata ushindi wa mabao 2-1 wafungaji wakiwa ni John Bocco aliyeifungia Simba mabao mawili, na Marcel Kaheza aliyefunga kwa penati. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



MASHABIKI SIMBA "TULIJUA Yatatokea Matokeo Haya /TUNA Imani na Simba"
MASHABIKI SIMBA "TULIJUA Yatatokea Matokeo Haya /TUNA Imani na Simba"

MASHABIKI SIMBA "TULIJUA Yatatokea Matokeo Haya /TUNA Imani na Simba" MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union na Simba uliochezwa leo, Julai 23 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu bila kufungana ndani ya dakika 90. Coastal Union inayonolewa na Juma Mgunda ililiandama lango la Simba kipindi cha pili kwa kumtumia mtupiaji wao namba moja Ayoub Lyanga mwenye mabao nane ndani ya ligi ila mikono ya Beno Kakolanya iliokoa hatari zake. Simba inayonolewa na Sven Vandenbroeck ilikuwa ikifanya mashambulizi kwa kumtumia Meddie Kagere na John Bocco mambo yalikuwa magumu kwao. Bocco alitolewa kipindi cha pili nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama na Miraj Athuman alitolewa ia nafasi yake ikachukuliwa na Deo Kanda ila ngome ya Coastal Union chini ya Bakari Nondo ilibaki kuwa imara. Pascal Wawa alionyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa leo baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano hivyo Simba ilimaliza dakika tisini ikiwa na wachezaji 10 baada ya beki huyo wa kigeni kutolewa dakika ya 75. Atakuwa akiwashuhudia wenzake kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Polisi Tanzania, Ushirika, Moshi. Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 37, Coastal Union inafikisha jumla ya pointi 53 zote zinauhakika wa kubaki ndani ya ligi. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline




« Previous Next »


Popular Tags

#Shaquille O'Neal  #Best Goalkeeper Saves  #Goal Celebrations  #Zlatan Ibrahimovi  #LeBron James  #Chicago Bulls  #Football Defensive Skills  #Best Champions League  #Paul George  #Neymar  

Popular Users

#JJWatt  #Buster_ESPN  #serenawilliams  #themichaelowen  #SportsCenter  #kobebryant  #sydneyleroux  #ATLHawks  #nytimes  #nfl  #Harry_Styles  #LarryFitzgerald  #sportspickle  #oldhossradbourn