ASANTE KOTOKO FANS PREDICT SCORE LINE FOR CAF CONFED CUP GAME WITH NKANA FC ON SUNDAY
ASANTE KOTOKO FANS PREDICT SCORE LINE FOR CAF CONFED CUP GAME WITH NKANA FC ON SUNDAY

PLEASE SHARE, SUBSCRIBE AND LEAVE A COMMENT WE TOOK IT TO THE STREETS AS WE ASKED SOME KOTOKO FANS FOR THEIR PREDICTIONS FOR THE GAME FOR THE NKANA FC ON SUNDAY THE PORCUPINE WARRIORS WILL BE LOOKING TO GET BACK TO GET BACK TO WINNING WAYS AFTER SUFFERING DEFEAT TO THE ZAMBIAN SIDE IN THE REVERSE FIXTURE A WEEK AGO IN KITWE. #SAHARAFOOTBALLNEWS #KOTOKOVSNKANA Socials Twitter: @kwakufiawoyi & @saharafootball Facebook: Sahara Football WEBSITE: http://saharafootball.net IF YOU LIKE WHAT WE DO AND WANT TO SUPPORT THIS CHANNEL, SEND CONTRIBUTIONS TO PAYPAL: https://Paypal.Me/SFiawoyi FOR SPONSORSHIP AND PROMOTIONS... CONTACT +233274096862 OR



ASANTE KOTOKO DEPARTS TO ZAMBIA FOR NKANA FC GAME - CK and PLAYERS HOPEFUL
ASANTE KOTOKO DEPARTS TO ZAMBIA FOR NKANA FC GAME - CK and PLAYERS HOPEFUL

Asante Kotoko will jet off to Zambia on Wednesday, 20 February 2019 to prepare ahead of their Confederation Cup game against Nkana FC in Kitwe. Asante Kotoko defeated another Zambian side, ZESCO United by 2-1 at the Baba Yara Sports Stadium on match day two to record their first victory in the ongoing competition. Footballghana.com understands that 18 players will make this trip, as well as the team, is leaving early in order to have ample time and prepare for the game which comes off on Sunday 24 February 2019 at the Nkana Sports Stadium in Kitwe. The Porcupine Warriors are expected to arrive at the Kenneth Kaunda International Airport on Thursday before they continue their journey to Kitwe.



Ushindi Wampagawisha Haji Manara, Mashabiki Wapagawa
Ushindi Wampagawisha Haji Manara, Mashabiki Wapagawa

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imefanikiwa kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Simba SC inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3, kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mjini Kitwe Jumamosi iliyopita. Mara ya mwisho Tanzania kuingiza timu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa mwaka 2003 na walikuwa hao hao Simba SC waliofika hatua hiyo, wakifuata nyayo za wapinzani wao wa jadi, Yanga SC waliokuwa timu ya kwanza nchini kufikia mafanikio hayo mwaka 1998. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars



BAADA ya Goli la NKANA Mashabiki wa Yanga Walichokifanya
BAADA ya Goli la NKANA Mashabiki wa Yanga Walichokifanya

BAADA ya Goli la NKANA Mashabiki wa Yanga Walichokifanya Baada ya Goli la Nkana mashabiki wa Yanga wameonekana kushangilia kwa nguvu zote na kuwaacha watanzania na mashabiki wa simba midomo wazi kutoakana na kuwashangilia wageni kutoka Zambia kutokana na simba ni watani zao. Simba na Nkana inakutana kwa mara ya pili katika mchezo wa marudiano ambao unafanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam wakati mechi ya kwanza ilifanyika katika uwanja wa Kitwe nchini Zambia. #SIMBAVSNKANA #VIKOSIVYASIMBA Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw.



Kwa Mazoezi Haya, Nkana Wanafungwa Kesho Taifa
Kwa Mazoezi Haya, Nkana Wanafungwa Kesho Taifa

Timu ya Simba leo imefanya mazoezi katika Uwanja wa Boko jijini Dar es Salaam Kujiandaa na timu ya Nkana Fc siku ya Jumapili katika Uwanja wa Taifa, Mchezo wa Ligi ya Mabingwa wa marudiano. #KUFANAKUPONA #SIMBASC #NKANA Katika Mchezo wa Kwanza Simba walifungwa bao 2-1 nchini Zambia Kitwe



NKANA FC 2-1 SIMBA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CAF CL 15/12/2018)
NKANA FC 2-1 SIMBA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CAF CL 15/12/2018)

Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF CL) kwa kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Mashetani Wekundu wa Nkana FC katika mchezo uliopigwa mjini Kitwe nchini Zambia. Simba ilionekana kuelemewa zaidi kipindi cha kwanza cha mchezo na kuruhusu bao la kwanza lilifungwa na Ronald Kampamba dakika ya 27 baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Hassan Kessy. Kipindi cha pili Simba walionekana kuimarika na kukianza kwa kusukuma mashambulizi langoni kwa Nkana lakini walijikuta wakifanya makosa katika safu yao ya ulinzi na kuruhusu bao la pili, lililotiwa kimiani na Kelvin Kampamba dakika ya 56. Simba walipata bao lao pekee dakika ya 73 kwa mkwaju wa penati uliofungwa na Nahodha wao John Bocco baada ya Meddie Kegere kuangushwa ndani ya eneo la hatari. Kwa matokeo hayo sasa Simba itahitaji ushindi wa kuanzia bao 1-0 katika mchezo wa marudiano utakaopigwa Jijini Dar es Salaam, wiki moja ijayo.



Mashabiki Simba wamkosoa kocha wao baada ya kuchapwa 2-1 na Nkana FC
Mashabiki Simba wamkosoa kocha wao baada ya kuchapwa 2-1 na Nkana FC

Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF CL) kwa kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Mashetani Wekundu wa Nkana FC katika mchezo uliopigwa mjini Kitwe nchini Zambia. Baada ya mchezo huo, mashabiki wa Simba waliokuwa wakiufuatilia mchezo huo kupitia Azam TV wametoa maoni yao, huku wakiuchambua mchezo huo, na wengine wakimkosoa kocha wa timu hiyo Patrick Aussems.




« Previous Next »


Popular Tags

#Shot Goals  #Los Angeles Lakers  #Football Skills  #Miami Heat  #Paul Pogba  #Best Goals Ever  #Best Ball Controls  #Stephen Curry  #Football Defensive Skills  #Boston Celtics  

Popular Users

#narendramodi  #geniebouchard  #TheChristinaKim  #SimplyAJ10  #nytimes  #mcuban  #CMPunk  #AntDavis23  #instagram  #britneyspears  #alexmorgan13  #darrenrovell  #shakira  #rioferdy5