Tuma na pokea pesa kutoka Zimbabwe, Zambia, Malawi, Madagascar, Sudani ya Kusini, Jamhuri ya kidemokrasia Kongo, Rwanda na Burundi kwa gharama nafuu kupitia Airtel Money.​
Piga *150*60# kufanya miamala.​

#AfrikaBilaMipaka

Tuma na pokea pesa kutoka Zimbabwe, Zambia, Malawi, Madagascar, Sudani ya Kusini, Jamhuri ya kidemokrasia Kongo, Rwanda na Burundi kwa gharama nafuu kupitia Airtel Money.​ Piga *150*60# kufanya miamala.​ #AfrikaBilaMipaka



Tuma na pokea pesa kutoka Zimbabwe, Zambia, Malawi, Madagascar, Sudani ya Kusini, Jamhuri ya kidemokrasia Kongo, Rwanda na Burundi kwa gharama nafuu kupitia Airtel Money.​
Piga *150*60# kufanya miamala.​

#AfrikaBilaMipaka

Tuma na pokea pesa kutoka Zimbabwe, Zambia, Malawi, Madagascar, Sudani ya Kusini, Jamhuri ya kidemokrasia Kongo, Rwanda na Burundi kwa gharama nafuu kupitia Airtel Money.​ Piga *150*60# kufanya miamala.​ #AfrikaBilaMipaka



ALLY KAMWE RASMI AJIUZULU/MAYELE AINGILIA KATI/"TUTAMRUDISHA SHULE AKASOME/HAJUI/NIMECHEZA KAMA LIGI
ALLY KAMWE RASMI AJIUZULU/MAYELE AINGILIA KATI/"TUTAMRUDISHA SHULE AKASOME/HAJUI/NIMECHEZA KAMA LIGI

Leo ndio Leo 🔥 ndani ya Mkoa wa Morogoro Wadau na wapenzi wa Soka Watashuhudia Burudani safi ya mpira wa Miguu katika Dimba la Jamhuri 🏟.. Ni Mchezo wa Hisani WAPE TABASAMU 2023 kati ya TEAM KIBWANA SHOMARI Vs TEAM DICKSON JOB ⏰ Kuanzia Saa 08:00 Mchana JE, Unadhani nani ataibuka Mbabe 😊⁉️ Endelea Kuwa karibu na Mpenja Tv kwa Updates Zaidi.



Magoli na mikwaju ya penati | Team Kibwana 2-2 Team Job (Pen: 2-4) |  Mechi ya Hisani 30/06/2023
Magoli na mikwaju ya penati | Team Kibwana 2-2 Team Job (Pen: 2-4) | Mechi ya Hisani 30/06/2023

Team Job ambayo iko chini ya beki Dickson Job wa Yanga imeibuka na ushindi wa penati 4-2 dhidi ya Team Kibwana iliyo chini ya Kibwana Shomary baada ya sare ya 2-2 katika muda wa kawaida, ukiwa ni mchezo wa hisani kusaidia afya ya uzazi ikienda kwa jina la #WapeTabasamu . Yamefungwa magoli manne na wachezjazi wawili katika muda wa kawaida.... Wachezaji hao ni Abdul Suleiman Sopu akiifungia Team Kibwana magoli mawili dakika ya 23 na 50 huku Saimon Msuva akichomoa magoli yote mawili dakika ya 74 na 80. Mechi imepigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Shuhudia hapa magoli yote na mikwaju ya penati.



WASEMAJI WA TIMU KIBWANA NA TIMU JOB WAPIGANA TAMBO KUELEKEA MCHEZO/MBONEKE AMGEUKA JOB.
WASEMAJI WA TIMU KIBWANA NA TIMU JOB WAPIGANA TAMBO KUELEKEA MCHEZO/MBONEKE AMGEUKA JOB.

Leo tarehe 22/06/2023 imetolewa tarehe rasmi ya Mchezo wa Wape Tabasamu 2023 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri. Dhumuni kubwa la Mchezo huo ni Uzazi Salama kwa Kizazi Bora. Kocha wa Timu Kibwana ni George Ambangile huko Kocha wa Timu Job akiwa ni Ally Kamwe



TAZAMA ngumi za nguvu alizopiga Kuvesa kutoka SAUZI na ngumi ya Mwakinyo iliyompeleka chini
TAZAMA ngumi za nguvu alizopiga Kuvesa kutoka SAUZI na ngumi ya Mwakinyo iliyompeleka chini

Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ameibuka na ushindi dhidi ya Kuvesa Katembo, waliokkuwa wakizichapa kwenye uwanja wa jamhuri jijini Dodoma. Mwakinyo ameeleza kuwa pambano hili lililkuwa ni la kujipima kabla ya kwenda kwenye pambano lake lijalo la kutafuta ubingwa.



#LigiKuu 22' | RUVU SHOOTING 0-0 AZAM

🏟Uwanja wa Jamhuri,Morogoro.

#LigiKuu 22' | RUVU SHOOTING 0-0 AZAM 🏟Uwanja wa Jamhuri,Morogoro.




« Previous Next »


Popular Tags

#Gareth Bale  #Thomas Muller  #Kyrie Irving  #Best Goals  #Mesut Ozil  #LeBron James  #Miami Heat  #Shot Goals  #Kawhi Leonard  #Tristan Thompson  

Popular Users

#sportspickle  #incarceratedbob  #sydneyleroux  #AntDavis23  #RyanBabel  #instagram  #CNN  #JayBilas  #YouTube  #DanicaPatrick  #GNev2  #hunterpence  #RobbieSavage8  #BadgerMBB