Leo ndio Leo ๐ฅ ndani ya Mkoa wa Morogoro Wadau na wapenzi wa Soka Watashuhudia Burudani safi ya mpira wa Miguu katika Dimba la Jamhuri ๐.. Ni Mchezo wa Hisani WAPE TABASAMU 2023 kati ya TEAM KIBWANA SHOMARI Vs TEAM DICKSON JOB โฐ Kuanzia Saa 08:00 Mchana JE, Unadhani nani ataibuka Mbabe ๐โ๏ธ Endelea Kuwa karibu na Mpenja Tv kwa Updates Zaidi.