Content removal request!


ALLY KAMWE RASMI AJIUZULU/MAYELE AINGILIA KATI/"TUTAMRUDISHA SHULE AKASOME/HAJUI/NIMECHEZA KAMA LIGI

Leo ndio Leo 🔥 ndani ya Mkoa wa Morogoro Wadau na wapenzi wa Soka Watashuhudia Burudani safi ya mpira wa Miguu katika Dimba la Jamhuri 🏟.. Ni Mchezo wa Hisani WAPE TABASAMU 2023 kati ya TEAM KIBWANA SHOMARI Vs TEAM DICKSON JOB ⏰ Kuanzia Saa 08:00 Mchana JE, Unadhani nani ataibuka Mbabe 😊⁉️ Endelea Kuwa karibu na Mpenja Tv kwa Updates Zaidi.