#LigiKuu 22' | RUVU SHOOTING 0-0 AZAM 🏟Uwanja wa Jamhuri,Morogoro.
Azam FC yaichapa Ruvu Shooting kwenye NBC Premier League, yajipanga kuiwinda Simba SC kwenye Azam Sports Federation ...
Haya hapa mabao yote manne na matukio kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Azam FC, ...
Haya hapa mabao yote manne kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Azam FC, Mabao ya ...
“Sisi mpaka dakika hii hatushuki daraja” Massau Bwire ambaye ni Msemaji wa Ruvu Shooting akiwatoa hofu mashabiki wa timu hiyo huku akibainisha kuwa bado wananafasi ya kusalia ligi kuu msimu ujao. Jumamosi ni Ruvu Shooting Vs Azam FC #LIVE #AzamSports1HD
AZAM FC YAIFUATA RUVU SHOOTING Wasikie Kocha Msaidizi wa Timu ya #AzamFC, Agrey Moris na Nahodha Bruce Kangwa wakizungumzia maandalizi kuelekea Morogoro kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Ruvu Shooting. Mechi ni Jumamosi majira ya saa 10:00 Jioni #AzamSports1HD