Leo June 23, 2022 Unapigwa Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Baina ya Simba SC dhidi ya Mtibwa Sugar Ikiwa Ni Mchezo Maalumu Wa Kumuaga Beki Serge Pascal Wawa "Sultan" Huku Ukiwa Ni Mchezo Wa Mwisho Wa Simba Msimu Huu Wa Ligi Kuu Kupigwa Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam Timu Nzima Ya Mpenja TV Imekita Kambi Dimba la Benjamin Mkapa Kukuletea Kila Nukta ya Jambo Linalochomoza Kutoka Hapa #MpenjaTV #SimbaSC #SimbaVsMtibwa #Ligikuu #PascalWawa #MpenjaTv
Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Baraka Adson Mpenja, Managing Director wa Mpenja Tv na Senior Commentator Azam Media amefunguka mambo mengi ikiwemo mchezo kati Yanga Sc Dhidi ya Coastal Union Mchezo ambao umewapa Yanga Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC 2021/2022. Fungua Video hii kupata Habari Kamili.... #BarakaMpenja #YangaSc #CoastalUnion #YangaScVsCoastalUnion #MpenjaTv
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV George Ambangile ni mchambuzi wa mpira na mtangazaji wa michezo wa WASAFI TV amechambua usajili wa timu ya Yanga na Simba. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV #GeorgeAmbangile #Yanga #usajilisimba
Mpenja Tv Leo June 10/2022 tumefanya mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc Ahmed Ally kuhusu ujio wa kocha Mpya wa Simba na vipi wanaenda kumaliza ligi kwa mechi zilizobaki, hali ya kikosi kwa sasa kuelekea mechi zilizosalia, Pia kagusia Harakati za usajili kuelekea Msimu ujao na Mashindano ya Kimataifa.... Fungua Video Hii kupata habari zaidi... #AhmedAlly #Simbasc #KochaMpya #MpenjaTv
Nyota za Zamani wa Kimataifa wa Cameroon Samuel Eto Amefika Uwanja wa Benjamin Mkapa Kushuhudia Mchezo wa Kufuzu Afcon Baina ya Burundi na Cameroon Mpenja TV Tumeshuhudia kilichojitokeza Wakati Nyota Huyo anatoka Uwanjani #MpenjaTV #SamuelEto #UwanjaWaMkapa #MpenjaTv
CCM Kirumba Mapeeeemaaaa kumekucha,Uwanja umetakata ni Kariakoo Derby Yanga Sc dhidi ya Simba Sc, Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, Mtanange unapigwa Majira ya Saa Tisa na Nusu Alasiri,Jijini Mwanza. #MpenjaTV #SimbaSC #YangaSC #SimbaSCVsYangaSC #Dabiyakariako
Ni Jumatatu tulivu ambayo inawakutanisha Wanajeshi wa Mpakani Biashara United na wanajangwani Yanga Sc kwenye Dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza, kwenye Mchezo wa ligi kuu ya NBC Unaochezwa Saa Kumi Jioni. #MpenjaTv #YangaScvsBiasharaUnited #CcmKirumba
Meneja Habari na Wasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amefunguka Maandalizi ya Kikosi Hicho Huku akitanabaisha Wazi kuwa Azam FC Ni dhaifu Mbele Yao na watazichukua Alama Tatu Ugenini Fungua Video Hi Kushuhudia Mahojiano Maalumu na Ahmed Ally Ambaye Amefunguka Mengi Kuelekea Mchezo wa Mzizima Dabi Kati Ya Azam FC na Simba SC #MpenjaTV #SimbaSC #AhmedAlly #SemajiLaCAF #SemajilaSimba