Mpenja Tv Leo June 10/2022 tumefanya mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc Ahmed Ally kuhusu ujio wa kocha Mpya wa Simba na vipi wanaenda kumaliza ligi kwa mechi zilizobaki, hali ya kikosi kwa sasa kuelekea mechi zilizosalia, Pia kagusia Harakati za usajili kuelekea Msimu ujao na Mashindano ya Kimataifa.... Fungua Video Hii kupata habari zaidi... #AhmedAlly #Simbasc #KochaMpya #MpenjaTv