CCM Kirumba Mapeeeemaaaa kumekucha,Uwanja umetakata ni Kariakoo Derby Yanga Sc dhidi ya Simba Sc, Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, Mtanange unapigwa Majira ya Saa Tisa na Nusu Alasiri,Jijini Mwanza. #MpenjaTV #SimbaSC #YangaSC #SimbaSCVsYangaSC #Dabiyakariako