Nyota za Zamani wa Kimataifa wa Cameroon Samuel Eto Amefika Uwanja wa Benjamin Mkapa Kushuhudia Mchezo wa Kufuzu Afcon Baina ya Burundi na Cameroon Mpenja TV Tumeshuhudia kilichojitokeza Wakati Nyota Huyo anatoka Uwanjani #MpenjaTV #SamuelEto #UwanjaWaMkapa #MpenjaTv