Leo June 23, 2022 Unapigwa Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Baina ya Simba SC dhidi ya Mtibwa Sugar Ikiwa Ni Mchezo Maalumu Wa Kumuaga Beki Serge Pascal Wawa "Sultan" Huku Ukiwa Ni Mchezo Wa Mwisho Wa Simba Msimu Huu Wa Ligi Kuu Kupigwa Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam Timu Nzima Ya Mpenja TV Imekita Kambi Dimba la Benjamin Mkapa Kukuletea Kila Nukta ya Jambo Linalochomoza Kutoka Hapa #MpenjaTV #SimbaSC #SimbaVsMtibwa #Ligikuu #PascalWawa #MpenjaTv
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.