Meneja Habari na Wasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amefunguka Maandalizi ya Kikosi Hicho Huku akitanabaisha Wazi kuwa Azam FC Ni dhaifu Mbele Yao na watazichukua Alama Tatu Ugenini Fungua Video Hi Kushuhudia Mahojiano Maalumu na Ahmed Ally Ambaye Amefunguka Mengi Kuelekea Mchezo wa Mzizima Dabi Kati Ya Azam FC na Simba SC #MpenjaTV #SimbaSC #AhmedAlly #SemajiLaCAF #SemajilaSimba