Leo Agosti 2 2022 Mpenja Tv tunakuletea mahojiano na familia ya Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah maarufu kama Fei Toto. . Mama mzazi wa Feisal amezungumza mengi ndani ya Mahojiano haya. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii. .
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Hassan Bumbuli, Amezungumza namna Kikosi cha Yanga kinavyoendelea Kujinoa kwa ajili ya Msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2022/2023,Hatma ya Yacouba Songne n.k
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Leo juni 16 Mpenja Tv tunakuletea Mazoezi ya Awali ya Simba Sports Club Nchini Misri ambapo Wekundu hao wanajiandaa na Msimu ujao wa Mashindano. . Meneja wa kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba Sports Club Ahmed Ally Amezungumza juu ya uwepo wa kikosi chao nchini Misri pamoja na Maandalizi yao ambayo yatakuwa ndani ya Siku 20 nchini humo. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa Habari hii.
Stephen Aziz KI ametambulishwa Rasmi Kuwa Nyota Wa Yanga SC Ikijiunga na Miamba Hiyo ya Soka Nchini Tanzania Akitokea ASEC Mimosas Ya Ivory Coast Tumezungumza na Gharibu Mzinga Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka la Bara La Afrika Kutoka Azam TV Ilikufahamu Yanga Wamepata Mchezaji wa Aina Gani Fungua Video Hi Kufahamu Mengi Kuhusu Nyota Huyu Alishika Sana Katika Mitandao ya Kijamii
Klabu ya Simba Sc leo Hii imeanza safari kuelekea nchini Misri kwaajili ya maandalizi ya msimu ujao. Mpenja TV tumekuletea mahojiano na baadhi ya wachezaji na Viongozi wa timu Hiyo kabla ya kuanza safari hiyo.
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Ahmed Ally meneja wa kitengo Cha Habari na Mawasiliano Simba SC Leo hii amemtambulisha kocha mpya wa klabu hiyo Kwa waandishi wa habari baada ya kufika nchini Tanzania Kwa mara ya kwanza akiwa kocha mkuu wa timu ya Simba SC. Aidha Ahmed Ally pia amezungumzia kuhusu maandalizi ya Pre season na Ile Siku ya Simba Day inayofanyika Kila Tarehe 8 Mwezi wa 8 na mambo yote yanayohusu usajili.