Ligi kuu ya NBC leo Jumapili Januari 23, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha ambapo wenyeji Polisi Tanzania FC wanakabiliana na Vinara Yanga SC. Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo Jijini Arusha kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #PolisiTanzaniaVsYanga #PolisiTanzania #YangaSC #NBCPremierLeague #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com