Kikosi cha Yanga SC kimerejea Dar es salaam kikitokea Jijini Dodoma baada ya kupata Ushindi dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, siku ya Disemba 24 katika Dimba la Jamhuri Meneja habari na Mawasiliano Ally Kamwe amezungumza mipango yao baada ya kurejea Dar es salaam kuelekea Michezo ya Mapinduzi Cup.
Leo Aprili 13,2024 Wajukuu wa Mbogo maji Ihefu SC wanamualika Mnyama Simba SC katika Uwanja wa CCM LITI Singida kumenyana mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10:00 jioni.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.