Leo Januari 5,2024 katika Uwanja wa New Amaan Sports Complex inapigwa Michezo miwili ya Kombe la Mapinduzi 2024,Saa 10:15 jioni Jamhuri SC dhidi ya JAMUS FC Saa 2:15 usiku,Simba SC dhidi ya APR SC.
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.