Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
#MuunganoCup2025: Tazama golikipa wa Yanga SC, Abuutwalib Mshery alivyoonesha umahiri wake katika kupangua mikwaju ya penati. Fainali ni JKU dhidi ya Yanga SC, Alhamisi Mei 1, 2025 saa 1:15 usiku FT’: Zimamoto 1-1 Yanga SC (Pen:1-3) #TanzaniaUnionSuperLeague #TUSL #MuunganoCup2025 #MuunganoCup #KombeLaMuungano #SuperLeague #YeNaniAsife #Zimamoto #YangaSC #ZimamotoYanga
Tazama matukio yote makubwa yaliyojiri kwenye mchezo kati ya KVZ dhidi ya Yanga SC kwenye Muungano Cup Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 2-0 Wafungaji ni Stephane Aziz Ki na Denis Nkane
#MuunganoCup2025: Mikwaju ya peanati iliyowatupa nje Singida Black Stars baada ya kumaliza dakika 90 kwa sare ya 2-2 FT’: JKU SC 2-2 Singida BS (penati: 6-5) #TanzaniaUnionSuperLeague #TUSL #MuunganoCup2025 #MuunganoCup #KombeLaMuungano #JKUSC #SingidaBlackStars
Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo NBC Premier League kati ya Fountain Gate dhidi ya Yanga Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 4-0 Magoli yamefungwa na Clatous Chama, Aziz Ki na Mzize ambaye amefunga magoli mawili.
Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49.
Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49. Haya hapa magoli yote tisa...
Yanga SC imelipa kisasi kwa kuitandika Azam FC mabao 2-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.... Yanga imepata mabao yake yote mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa Pacome Zouzoua dakika 11 na Prince Dube dakika ya 34, huku Azam FC wakipata bao lao dakika ya 81. Tazama magoli....
Super Sub, Elvis Rupia amefunga goli pekee na la ushindi wa bao 1-0 kwa Singida Black Stars dhidi ya Azam FC, mchezo wa Ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Uwanja wa Liti, Singida. Goli kwa Azam FC ni Zuberi Foba ambaye hata hivyo kabla ya goli hili la dakika ya 75, alikuwa amefanya saves kadhaa na kuzuia hatari nyingi za Singida Black Stars....
Timu ya KMC FC imepindua meza kwa kuichapa Mbeya City mabao 2-0 na kufanikiwa kusalia ligi kuu kwa jumla ya magoli 3-2.
Timu ya KMC FC imepindua meza kwa kuichapa Mbeya City mabao 2-0 na kufanikiwa kusalia ligi kuu kwa jumla ya magoli 3-2.
Magoli mawili kutoka kwa Rashid Juma na Obrey Chirwa (penati) yameipa ushindi wa mabao 2-0 Ihefu SC dhidi ya Kagera Sugar ...
Mtibwa Sugar imeitandika Geita Gold FC mabao 3-1 na kubaki salama ndani ay #NBCPremierLeague baada ya kuhitimisha ...
Tazama nginjanginja za mechi ya mtoano (play off) kati ya Mbeya City dhidi ya KMC ambapo wenyeji Mbeya City wameshinda ...
Magoli yote yaliyofungwa kwenye mchezo wa play off (mtoano) kati ya Mbeya City dhidi ya KMC. Mbeya City imeshinda mabao ...
Tazama matukio na goli la Deogratius Anthony wa KMC wakati wakifanikiwa kupata ushindi wao dhidi ya Mbeya City. Tazama ...
Tazama goli la Raizin Hafidh wa Dodoma Jiji akiichakaza Ruvu Shooting kwenye mchezo wa kufunga msimu wa NBC Premier ...