Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Itazame Dar es Salaam, itazame Benjamin Mkapa, watazame watani wa jadi…!!! #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KariakooDerby #DabiYaKariakoo #HainaKipengele #YangaSC #SimbaSC #YangaSimba #WataniWaJadi
Yanga SC imeichakaza Tanzania Prisons kwa kichapo cha mabao 5-0 kwenye mchezo wa raundi ya 29 Lig kuu ya NBC uliopigwa Sokoine Stadium, Mbeya... Pacome Zouzoua amefunga magoli mawili, huku mengine yakitoka kwa Mudathir Yahya aliyefungua milango dakika ya 31, Clatous Chama, na Israel Mwenda..
Magoli mawili ya Emmanuel Keyekeh na moja la Jonathan Sowah yameipa ushindi wa 3-1 Singida Black Stars dhidi ya Simba na kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank. Ni katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Tanzanite Kwaraa, Babati Manyara ambapo Simba imepata goli lake la kufutia machozi kupitia kwa free-kick ya Jean Charles Ahoua. Kwa matokao haya, safari ya Simba imeishia hapa.... na Singida BS wanakwenda fainali kuwakabili Yanga...
Steven Mukwala amefunga goli pekee na la ushindi kwa Simba, dhidi ya Singida Black Stars, mchezo wa Ligi Kuuya NBC uliopigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam.
Yanga imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa JKT Tanzania mabao 2-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Mkwakwani Stadium, jijini Tanga.... Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamefungwa na Prince Dube dakika ya 41 na Mudathir Yahya dakika ya 90.
Jean Charles Ahoua amepiga hattrick Simba ikiinyuka Pamba Jiji FC kichapo cha mabao 5-1 kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam. Ahoua amefunga magoli yake dakika ya 16' kwa penati, 37' na 48' huku mawili yakifungwa na Lionel Ateba Mbida dakika ya 80 na 84. Goli pekee la kufutia machozi kwa Pamba limefungwa na Mathew Momanyi Tegis dakika ya 86....
Fabrice Ngoma amefunga goli pekee lililowapa Simba ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Dar es Salaam.
Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Mashujaa FC. Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 2-1. Magoli ya Simba yamefungwa na Leonel Ateba kwa mikwaju ya penati. Goli la Mashujaa limefungwa na Jafary Kibaya
Mashujaa FC ya Kigoma imepanda daraja kucheza ligi kuu ya NBC msimu ujao kwa kuichapa na kuishusha daraja Mbeya City ...
Tazama namna mashabiki wa Mashujaa FC walivyotua 'kibabe' ndani ya jiji la Mbeya kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo ...
Simba U20 na Kagera Sugar U20 limepigwa pira kubwa na mechi ikamalizika bila goli pande zote mbili. Ni mechi ya ligi kuu ya ...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Geita Gold FC imeanza vema ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi kwa kuichapa ...
Taifa Stars iko kwenye harakati za kuwania kufuzu kwa miachuano ya AFCON na mwishoni mwa wiki ilipata ushindi wa 1-0 ...
Timu ya Mashujaa FC ya Kigoma kutoka ligi ya Championship imeitandika Mbeya City kutoka Ligi Kuu ya NBC mabao 3-1 katika ...