Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

ONA HAPA...!!! Mashabiki SIMBA walivyokiamsha kwa MKAPA
ONA HAPA...!!! Mashabiki SIMBA walivyokiamsha kwa MKAPA

Mashabiki wa Simba baada ya kupata ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, walijipongeza kwa kucheza kigoma nje ya uwanja wa Benjamin Mkapa.



Mashabiki SIMBA  baada ya mechi na TZ PRISON | Watambia ubingwa | Ishu ya Bocco
Mashabiki SIMBA baada ya mechi na TZ PRISON | Watambia ubingwa | Ishu ya Bocco

Mashabiki wa Simba baada ya kupata ushindi dhidi ya Tanzania Prison wamedai kuwa Ubingwa wa Msimu huu ni wao na ni kawaida ya watani zao Yanga kukaa kileleni lakini ni ngumu kwa wao kuchukua Ubingwa mbele ya Simba.



SIMBA 0 - 0 YANGA || Wasikie Mashabiki SIMBA,YANGA baada ya mechi
SIMBA 0 - 0 YANGA || Wasikie Mashabiki SIMBA,YANGA baada ya mechi

Maoni ya baadhi ya Mashabiki wa Yanga na Simba baada ya mchezo wao kumalizika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa timu hizo kutoa sare na kugawana alama moja moja kwenye Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC.



Mayele, Moloko watoa shoo tafrija la Yanga/ GSM awapeleka out
Mayele, Moloko watoa shoo tafrija la Yanga/ GSM awapeleka out

Wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Jesus Moloko wakicheza muziki muda huu katika tafrija maalumu ya klabu hiyo lililoandaliwa na mdhamini wao GSM, Whitesand hotel Mbezi beach.



KIGOMA.! Mashabiki SIMBA, wamuimba MANARA
KIGOMA.! Mashabiki SIMBA, wamuimba MANARA

Shamrashamra za mashabiki wa klabu ya Simba baada ya kuibuka na ushindi leo wa bao 1 - 0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi ya NBC .



SIKIA..!! Tambo za mashabiki SIMBA | Shabiki YANGA avamia SHOO
SIKIA..!! Tambo za mashabiki SIMBA | Shabiki YANGA avamia SHOO

Maoni ya Mashabiki Mbalimbali Baada ya Mchezo wa Ligi kuu ya NBC kati ya Simba sc dhidi ya Polisi Tanzania katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.



TEGETE amkubali AUCHO | Aitabiria ubingwa YANGA  | Agoma kurudi timu kubwa
TEGETE amkubali AUCHO | Aitabiria ubingwa YANGA | Agoma kurudi timu kubwa

Mchezaji wa zamani wa YANGA SC Jerrison Tegete amaejitokeza kuitazama timu yake hiyo leo katika uwanja wa Taifa na kufunguka kuvutiwa na kiungo wa Uganda wa klabu hiyo Kharid Aucho.



MTIBWA 0 vs 1 MBEYA KWANZA | ILI HAPA..!! Neno la Bodi ya Ligi
MTIBWA 0 vs 1 MBEYA KWANZA | ILI HAPA..!! Neno la Bodi ya Ligi

Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almasi Kasongo akitoa neno mchezo wa kwanza wa ligi kuu tanzania bara kati ya Mtibwa dhidi ya Mbeya kwanza.




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports