Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Rais wa klabu ya yanga akizungumza wakati alipoalikwa kwenye uzinduzi wa tawi jipya la klabu hiyo maeneno ya Sinza kwa Wajanja jijini Dar es Salaam.
RASMI klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya 28 baada ya ukame wa misimu minne huku ikiwa na michezo mitatu mkononi kufuatia kuifunga Coastal Union ya Tanga mabao 3-0.
Msemaji wa Yanga Haji Manara akitandika nguo yake chini wachezaji walikajage baada ya ushindi dhidi ya Simba
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Golikipa wa klabu ya Kagera Sugar akizungumzia mchezo wao wa leo dhidi ya Yanga, ambapo ameruhusu magoli 3 na kusema kuwa mshambuliaji wa Yanga Feston Mayele ni mchezaji wa kuchungwa kwani ni mshambuliaji mzuri.
Shabiki wa simba, Msafiri maarufu kama 'Simba Ulaya' ameelezea mchezo wa Simba dhidi ya Mbeya Kwanza na amefunguka kuwa kikubwa wanachoitaji ni pointi tatu ndio umuhimu na sio kitu kingine.
Nahodha wa Mbeya Kwanza, Salum Chuku akitoa tamthmini ya bao walilofungwa dhidi ya Simba na ujumbe wake kwa mashabiki zao.