Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Msikie msemaji wa klabu ya Mtibwa Sugar Thobias Kifaru baada ya mchezo wao dhidi ya Mbeya kwanza kumalizika kwa wao kufungwa bao moja na wakali hao kutoka Mbeya.
Kutana na William Edgar mchezaji kutoka Mbeya Kwanza, ambaye ameweka rekodi ya kupiga bao la kwanza la msimu huu wa 2021/2022 kwenye TPL
Tazama mwanzo, mwisho tukio la Haji Manara baadaya mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Yanga kumalizika kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Wachezaji wapya Yanga walipotambulishwa kwa kutakiwa kucheza mziki. Hii ni kawaida kwa Yanga kila mchezaji au kiongozi wa benchi la ufundi wakijiunga tu kwa mara ya kwanza hutakiwa kucheza huku wenzao wakiwaimbia na kupiga makofi.
Wasikilize mashabiki mbalimbali wa klabu ya Simba baada ya mchezo wao dhidi ya Coastal Union kumalizika leo.
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Matangazo ya moja kwa moja kutokea uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kuelekea mchezo wa SIMBA NA YANGA.
Kiungo wa simba Clatous Chama akitoa shukrani kwa mashabiki wa Simba kwa kumtolea rambirambi baada ya kufiwa na mkewe wiki chache zilizopita.