Tazama kipindi cha Mshikemshike Viwanjani kikiwa kimesheheni habari kemkem za michezo ikiwemo tambo za mashabiki wa ...
Tazama kipindi cha Mshikemshike Viwanjani kikiwa kimesheheni habari kemkem za michezo ikiwemo tambo za mashabiki wa ...
Pata ripoti ya mechi zote za Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwemo magoli na kauli za makocha na mashabiki kuhusu mechi zilizochezwa leo ambazo ni Coastal union vs Simba, Azam vs Mbeya city, Lipuli vs Ruvu Shooting, Polisi vs JKT na Alliance vs Ndanda. Hasheem Ibwe yuko na mchambuzi Michael Johnson kukuletea hizi na taarifa nyingine kibao za michezo. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Simba kulazimishwa sare ya Ruvu Shooting, pamoja na maandalizi ya mchezo wa JKT Tanzania vs Yanga yaliyotawaliwa na tambo, na Azam kutoa kichapo cha 2-0 kwa Mbao FC ni miongoni mwa story kubwa kwenye Mshikemshike Viwanjani ya leo. Ungana na Ahmed Ally akiwa na Rashid seif. Pia utaona Singida United walipocheza mchezo wa kirafiki ndhidi ya Singida Veterani. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Kumbwa ni story ya Yanga kumpiga Mwadui 1-0 mjini Shinyanga pamoja na maandalizi ya mechi za kesho Simba vs Ruvu Shooting pamoja na Azam vs Mbao FC. Pia utaona kilichotokea Mkwakwani Jijini Tanga, Coastal Union ikitoka sare ya 2-2 na Namungo FC. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Azam FC yacharuka Ligi Kuu ya Vodacom na kuichakaza Alliance FC kwa mabao 5-0 na Mbeya City yapoteza tena nyumbani. Ungana na Ahmed Ally kwenye MSHIKEMSHIKE VIWANJANI akikuletea mengi ya kimichezo ikiwemo taarifa kuhusiana na mpambano wa Mwakinyo utakaopigwa Ijumaa hii ndani ya dimba la Uhuru.
Simba SC yarejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania kwa ushindi wa kishindo dhidi ya Mtibwa Sugar na Heritier Makambo "achomoka" Yanga SC na kukimbilia Afrika Magharibi. Kwa hayo na mengine mengi ungana na Fatma Abdallah Chikawe kwenye Mshikemshike Viwanjani.