Timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars imeitandika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Tanzania yamefungwa na Novatus Dismas dakika ya 10, Mbwana Samatta dakika ya 63 na George Mpole dakika ya 90 huku CAR wakipata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 66.
Wagosi wa Kaya, Coastal Union wametandikwa mabao 2-0 na Geita Gold FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Dimba la Nyankumbu mkoani Geita. Magoli ya Geita yamefungwa na George Mpole kwa penati pamoja na Danny Lyanga, yote yakifungwa ndani ya dakika mbili.
Penati mbili, moja ikitokea dakika ya 51 na nyingine dakika ya 80 zimefanywa wageni wawili wa ligi kuu, Geita Gold FC na Mbeya Kwanza kumaliza pambano lao kwa sare ya bao 1-1. Ni mechi ya #NBCPremierLeague iliyochezwa Desemba 27 kwenye Uwanja wa Nyankumbu Geita na kushuhudia George Mpole na Habib Kiyombo wakitikisa nyavu.
#GeitaGold #Mbeyakwanza #nbc #azamtv #mpenjatv #geita #mbeyakwanza #ligikuu Tazama Magoli ya Penati, Geita Gold 1-1 Mbeya Kwanza leo Tarehe 27/12/2021. Magoli yakifungwa na George Mpole dakika ya 51 na la Mbeya kwanza likifungwa na Habib Kyombo dakika ya 81.
Goli la GEORGE MPOLE wa GEITA GOLD dhidi ya SIMBA SC #simposports #ligikuu #tanfootball #cloudstv #cloudsfm #wasafitv #sportsarena #vsports #tanzanizvscongo #live #tve #skysports #ten #kipyenga #uwanjani #simba #simbasc #yanga #youngafrican #azamtv #tbc #storybook #new #diamond #rayvan #harmonize #derby #simbanayanga #timu #kikosi #michuano #kwamkapa #uhuru #mwanza #alliance #mbao #mbaofc #uwnjani #MAGOLI #mayele #feisal #Banda #PeterBanda
Timu ya Geita Gold FC leo imepata ushindi wake wa kwanza kwenye #NBCPremierLeague kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, mechi ikipigwa kwenye Dimba la Kaitaba, Bukoba. Magoli yote mawili ya Geita yamefungwa na George Mpole huku Kagera Sugar wakipata bao lao kupitia kwa Mbaraka Yussuph.
Timu ya Geita Gold FC leo imepata ushindi wake wa kwanza kwenye #NBCPremierLeague kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, mechi ikipigwa kwenye Dimba la Kaitaba, Bukoba. Magoli yote mawili ya Geita yamefungwa na George Mpole huku Kagera Sugar wakipata bao lao kupitia kwa Mbaraka Yussuph.
Tazama highlights, Geita Gold FC walivyobanwa mbavu na Mbeya City kwenye Uwanja wa Nyankumbu mjini Geita na kutoka sare ya bao 1-1. Mbeya City walitangulia kwa goli la Juma Luizio na kisha Geita kusawazisha kupitia kwa super sub, George Mpole. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz