Azam TV - HIGHLIGHTS: LIPULI FC 2-1 MBAO FC (29/10/2017)
Azam TV - HIGHLIGHTS: LIPULI FC 2-1 MBAO FC (29/10/2017)

Lipuli FC leo imeondoka na point tatu baada ya kuichapa Mbao FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliopigwa dimba la Samora mjini iringa. Mabao ya Lipuli yamefungwa na Asante Kwasi dakika ya 59 na 73 wakati bao la Mbao likifungwa na Habibu Haji dakika ya 10.



Comment ya kocha wa Mbao na Azam Fc baada ya mchezo wao wa sare
Comment ya kocha wa Mbao na Azam Fc baada ya mchezo wao wa sare

Timu ya Mbao fc ya jijini Mwanza imeshindwa kupata ushindi katika uwanja wake wa nyumbani ikiwa imecheza mchezo wa nne mfululizo uwanja wa Ccm Kirumba.



MBEYA CITY WAIKOMALIA MBAO KWAO
MBEYA CITY WAIKOMALIA MBAO KWAO

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.



Azam TV - HIGHLIGHTS: Mbao FC 2-2 Mbeya City (13/10/2017)
Azam TV - HIGHLIGHTS: Mbao FC 2-2 Mbeya City (13/10/2017)

Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa leo katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Mbao ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 3, kisha Mbeya City wakakosa mkwaju wa penati dakika ya 5 kupitia kwa Mohamed Samatta.




« Previous Next »


Popular Tags

#Goalkeeper Saves  #David Silva  #Franck Ribery  #Best Goals  #Tristan Thompson  #Best Goals Ever  #Los Angeles Lakers  #Miami Heat  #LeBron James  #Amazing Solo Goals  

Popular Users

#kevinlove  #StephenCurry30  #akshaykumar  #si_vault  #DeionSanders  #LAKings  #OleksiakPenny  #BMcCarthy32  #J_No24  #ddlovato  #MichelleDBeadle  #espn  #BarackObama  #SHAQ