Lipuli FC leo imeondoka na point tatu baada ya kuichapa Mbao FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliopigwa dimba la Samora mjini iringa. Mabao ya Lipuli yamefungwa na Asante Kwasi dakika ya 59 na 73 wakati bao la Mbao likifungwa na Habibu Haji dakika ya 10.
Timu ya Mbao fc ya jijini Mwanza imeshindwa kupata ushindi katika uwanja wake wa nyumbani ikiwa imecheza mchezo wa nne mfululizo uwanja wa Ccm Kirumba.
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa leo katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Mbao ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 3, kisha Mbeya City wakakosa mkwaju wa penati dakika ya 5 kupitia kwa Mohamed Samatta.